CHADEMA Siwaelewi mnachokisimamia

Nasikia mmeanza kukusanya za kutivu watoto wanaotibiwa bure.Hongera Sana Chama Cha wala rambirambi aka CCM.
 
Acha kuleta hoja zilizo pitwa na wakati juha' wewe na unaacha mambo ya msingi ,tujadili kwanza kipaombele cha taifa na maendeleo ya watanzania kwa ujumla katika utawala huu wa sasa sio unakaza mk kujadili upuuzi wa wapuuzi wenzio maana hao chadema kwa sasa hawana serikali na wala hawana sera inayo ongoza taifa na kujadili kitu ambacho hakina tija ni ujinga pia.

ni mpuuzi pekee atakaye jikunja kujadili upuuzi wako na kuacha mambo ya msingi , labda wenye akili watakukosoa kwa ujinga ulio uleta hapa ila wajinga wenzio maana mnafahamiana watakuunga mkono maana elimu zenu wote za kuokoteza KK
 
Reactions: BAK
Tumekusikia mla rambi rambi. Nyie mnakoelekea mtahamisha hata reli ili mpate rambi rambi.
Mejichokea sana mpaka mnavizia rambi rambi mziingize kweny matumiz ya serikali km kujenga hospital, kujenga shule n.k
Increment mkalala nazo mbele, watoka pabaya nyie. Kweli nyie Mafisi
Hii nchi ishakuwa ya ovyo sana. Hongera mkuu naona Rambi rambi za watu unazifanyia fujo humu na bundle za internet.
Wazee wa rambi rambi
 
Boss Barbarosa kwa maelezo yako, Tanzania hatuna haja ya kuwa na Chaguzi na Mfumo wa Vyama Vingi. Nilitegemea ungesema Upinzani watashindwa na sio hawawezi kushinda ukaenda mbali hata kwa miujiza.

My Take: Pelekeni Mswada Bungeni mfute Mfumo wa Vyama Vingi. Tunapoteza MaBillion kwa Mabillion kwa Chaguzi. Hizi pesa zingetumika kwenye matumizi mengine.

 
Tanzania siyo Nigeria, jaribu kuusoma mfumo wa Tanzania kwanza, CCM ni zaidi ya Chama cha Siasa!
Basi hakuna haja ya kûwa nauchaguzi na vilevile serikali inatoa ruzuku bila kumaanisha halfu mh tukisema tz hakuna democracy mbona mnakuja juu sasa yamekukuta yepi
 
Wagojwa wa akili mnashirikisha wenye akili.

Mimi nasema sawa na iwe hivyo . Muda utasema
 
Mkuu huenda una nia njema sana kulisemea hili, nimekuelewa sana. Hujakosea hata chembe kwa reference ya Zanzibar 2015. Asante sana mkuu!! Unachomaanisha ni kwamba kuna wang'anganizi wa madaraka na walafi hawako tayari juu ya hili. Iko siku Wapinzani watashinda,wananchi wataikataa CCM kwa wingi sijui watafanyaje, watatumia nguvu ipi? Yahya Jamee alijaribu hilo lakini leo yuko uhsmishoni.
 
Vipi umekalia nini hapo saizi? Sio rungu nyama kweli wewe Lumumba.?
 
Halafu mleta mada anaweza kuwa ni msomi na elimu yake haisadii nchi, ukweli ni kuwa humo serikalini ndiyo hakuna mawazo ya kuisaidia nchi zaidi ya kuendekeza ukereketwa wa chama na kuifanya kama dini.

Yoote uliodai dhidi ya CDM ni kinyume chake. Bali uongozi uliotoka uvccm wa kina Gambo na Bashite ni wa visasi.
 
Achana nao MWENYE Enzi MUNGU hadhihakiwi hata siku moja, APANDALO MTU NDIYO ATAKALOVUNA, YEYE NA KIZAZI CHAKE! Its about time and starting now! Tick tock!
 
Haya tumekusikia nendeni mkagawane rambirambi
 
Takataka! Nonsense
 
Reactions: BAK
Upepo mbona ulishabadilika, wazee wa pepo za kusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…