Acha kujigeuza msukule, Kikwete huwa anahutubia hadi saa tatu usiku kama mchawi hamsemi kitu. Watu wamemsubiri mkombozi wao toka saa nane hadi saa 12 halafu apite bila kuongea chochote sio uungwana.
Ni mbulumundu pekee anayeweza kujiaminisha kuwa kama watu wanashangilia huwezi kuwaambia tulieni.
asante kwa updatesukweli ni kwamba mzee slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kufika uwanjani kwa kile kilichokuwa kinaonekana mjini hapo kuwa kuna dalili za kuzomewa na kufanyiwa fujo, hata hivyo mkutano haukuwa na watu kabisa mpaka ilipofika saa 11;30 aliamua kwenda kuwasailimia wananchi wachacche waliokuwepo uwanjani, lakini alipokaribia uwanjani alikutana na watu wmebeba mabango yaliyomzomea na mengine kuandikwa jina la zitto.
nashangaa leo eti wanadanganya kuwa alihutubia mkutano mkubwa, na wandanganya kuwa waliweka mafuta machafu mkoani pwani...teh teh....waseme ni kituo gani kama wanajiamini.
Leo yatakayomkuta kigoma ni mpya hatakaa asahau.... Brigedia Nyakarungu
Dr. Slaa alisema "kwa hivi sasa Chadema haitafanya uchaguzi kwa vile chama siyo imara"KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kamwe chama hicho hakitakubali kuwa legelege katika kusimamia misingi yake, ikiwemo katiba inayowaunganisha wanachama wote.
Source:Tanzania Daima Alhamisi
Nimezungumza n jamaa zangunwengi tu wa kahama mbao tunashirikiana nao kwenye masuala ya kazi na hasa za madini,wanasema kwa sasa chadema haina nguvu tena na jna hali ilikuwa tete kwa slaa na alizomewa!!!
ukitaka kujua misamiati, ingia jf!
Hili neno mbulumundu nimelipenda sana!
Mtu yupo jf, anajiita gt ila hajui tofauti kati ya mikutano ya kampeni za uchaguzi na mikutano ya kawaida!
Nimezungumza n jamaa zangunwengi tu wa kahama mbao tunashirikiana nao kwenye masuala ya kazi na hasa za madini,wanasema kwa sasa chadema haina nguvu tena na jna hali ilikuwa tete kwa slaa na alizomewa!!!
dr. Slaa alisema "kwa hivi sasa chadema haitafanya uchaguzi kwa vile chama siyo imara"
Hivi unaitwa Elizabeth Dominic Mallya au Lyimo?We mama umevurugwa si bure
Aibu yao aibu yetu?
Obviously ya kwenyu magambaz energy mnayotumia kuharibu na results mnazopata it's heartbreaking for u guys
Poleeeee
Aluta continua.....
Mapambano yapi? Kati ya nani na nani?
Jombaa, achana na propaganda za magazeti magazeti ya CCM, tembelea blog ya MICHUZI leo, uone nyomi iliyojitokeza Kahama......
Siyo kusimkia alisema yeye mwenyewe humu jamvini kuwa Chadema hivi sasa siyo imara hivyo hakiwezi kufanya uchaguzi.hukumsikia vizuri.. Inaonekana maskio yako yana matege
Acha kujigeuza msukule, Kikwete huwa anahutubia hadi saa tatu usiku kama mchawi hamsemi kitu. Watu wamemsubiri mkombozi wao toka saa nane hadi saa 12 halafu apite bila kuongea chochote sio uungwana.
Ni mbulumundu pekee anayeweza kujiaminisha kuwa kama watu wanashangilia huwezi kuwaambia tulieni.
Huna haja ya kufuatilia kokote. Download hii picha kwenye computer yako.
Ukishafanya hivyo, right click kwenye hiyo picha then select properties. Hapo utaona hii picha imepigwa 23.11.2011.
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Vyombo (vyanzo) vya habari ni vingi. Inategemea unavyo-chekecha kupata ukweli/uhalisia maana huwezi tu kusiki/kusoma na kuamini.Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?
Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?
Kama hiyo picha sio ya jana, Tuwekeeni hiyo mliyonayo! Huyo TUNTEMEKE mwenyewe aliyeleta huu ----- mbona hana picha yoyote! Acheni u.jinga!!!
Vyombo (vyanzo) vya habari ni vingi. Inategemea unavyo-chekecha kupata ukweli/uhalisia maana huwezi tu kusiki/kusoma na kuamini.
Jana hapa jamvini alikuja Taswira na kuandika mengi (bila picha wala ushahidi wowote). Tz Daima wameweka picha na ushahidi wa mazingira na maneno.....chagua unaamini nini. Taswira & magazeti yao au Tz Daima na mashuhuda waliokuwa kwenye mkutano.
Kaka Mtoi,
hiyo ndio propaganda, tatizo Kubwa lipo Chadema Kwamba mpaka wa leo hawana chombo chochote rasmi cha kusimamia habari Zao, hivi mpaka leo Chadema imeshindwa kufungua hata Gazeti lake tukiacha TV na Radio?
Jana Mkutanao wa Slaa kule Kahama, TUMTEMEKE kaingia mapema humu kufanya Damage, Nadhani Chadema mnapaswakuimarisha kitengo cha propaganda