Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,650
- 6,088
Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?
Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?
Mkuu ushahidi upo kwa Kurugenzi ya Habari ambao alituletea picha za Kahama kumejaa minazi, teh teh teh.Mkuu hapo kwenye bold unaweza kutupa ushahidi?
Kama wewe pamoja na usomi wako lakini ukakubali ajira ya buku 7 Lumumba.
Kama wewe pamoja na usomi wako lakini ukakubali ajira ya buku 7 Lumumba.
Mkuu Molemo kuna Gazeti linasema kwamba Dr. Slaa jana alizomewa na kufanyiwa vurugu huko Kahama na pia aliambulia idadi ndogo ya wananchi. Gazeti la Tanzania Daima linakuja na habari kwamba amehutubia mkutano mkubwa wa hadhara! Hivi sheria za nchi si ni kwamba mwisho wa kuhutubia mikutano ya hadhara ni saa kumi na mbili; sasa Dr. Slaa alifika saa kumi na mbili viwanjani, alihutubia saa ngapi?
Pia hapo kuna sauti ya tulieni, tulieni alikuwa akituliza nini? Siyo hizo vurugu ambazo tumeambiwa kuwa alifanyiwa?
Mkuu huyo jamaa ni bata tu anaishi kwa kutegemea buku 7 za lumumba.
mimi mwenyewe ni mpiga kura wa zzk. . Kusema ukweli dogo watu hawakua na imani naye tena. Hata uchaguzi wa 2010 alipita kwa mbinde
Source: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA KIGOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA KASKAZINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Political Party[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Number of Votes[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] ZITTO KABWE ZUBERI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CHADEMA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]23,366[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 48.57[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LEMBO ROBINSON FULGENCE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CCM[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]18,352[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 38.15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] OMARY MUSSA NKWARULO [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CUF[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]4,839[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 10.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHONGERA HARUNA CHONGERA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CHAUSTA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]264[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.55[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MFAUME HAMISI MFAUME [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]108[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] AUGUSTINO PETER MBOLEGWA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]SAU[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]88[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] GERMANI MAULIDI MLETE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]DP[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]87[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] HAMISI FADHILI KISWAGA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]NRA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]47[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MAUWA SHAURI KAMANA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]JAHAZI ASILIA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]19[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] TATU SAIDI HUSSEIN [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]UMD[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]8[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.02[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 5%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 15%, align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]927[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 1.93 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"] 48,105[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 100[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mkuu,
Ile picha nilivyoiona niliwambia wazi Mods wa JF piga life ban hii Kurugenzi ya Habari kwa kuleta uongo JF.
Cha kusikitisha zaidi pro-Chadema walivyokuwa walaghaika wakawa wanashangilie ile picha bila kuhoji chochote.
Chadema wameyakoroga wenyewe.
Kimbunga
Dkt. Slaa alipowasili Kahama majira ya saa 12.15 hivi, kulikuwa na hamasa sana, wengine wanasema mzuka. Alikuwa akisisitiza yeye ni muumini wa sheria kwa sababu siku zote hata mapambano yake dhidi ya vita ya ufisadi yako katika msingi huo. Bila kuwatuliza kwa haraka ili awahutubie ndani ya muda mfupi angelazimika kuwa jukwaani muda mrefu.
Haiwezekani kuwaacha watu waliokusubiri masaa 4, kwa hamu ya kukusikiliza, usitoe hata salaam kwao. Labda kama wapo wanasiasa wa vyama vingine wasiothamini wananchi kiasi hicho lakini si viongozi wa CHADEMA!
Ilikuwa lazima ahutubie kwa sababu watu wamekaa uwanjani tangu saa 8 mchana wakimsubiri yeye. Kuchelewa kwake kulitokana na magari kupata hitilafu iliyotokana na mafuta machafu kama ambavyo tumeshaeleza hapa jana.
Wanaodai kulikuwa na vurugu au mabango au sijui vitu gani, wanastahili kuonewa huruma. Najiuliza binafsi, hivi wananchi wa Kahama waliokuwa pale uwanjani wanawachukuliaje wahariri wa magazeti hayo?
Lakini wasizungumze kwa maneno, hivi kweli kwa uwezo wako wa kufikiri na kujua mambo, kungelikuwa na hali kama hiyo, magazeti hayo yangeandika maneno pekee? Watupatie picha zao! Kama hawana basi hata wafanye doctoring. Kama wameweza kwenye stori, wanasubiri nini kufanya hivyo kwenye picha.
Tunashukuru magazeti kama hayo yataendelea kujifia. Nani anasoma Gazeti la Uhuru? Kama unauliza sheria inayohusu muda wa kuhutubia mikutano, bila shaka anza na Rais Kikwete ambaye aliwahi kuvunja hata sheria ya uchaguzi inayosema specifically mwisho ni saa 12.00.
Kitu cha mwisho kabisa, mnaosema kuna sheria imevunjwa kwa Dkt. Slaa kuhutubia muda huo, mbona mnaweka maneno, wekeni ni sheria gani hiyo.
toa ushahidi na unachokiandia.au unakimuhemuhe
mimi mwenyewe ni mpiga kura wa zzk. . Kusema ukweli dogo watu hawakua na imani naye tena. Hata uchaguzi wa 2010 alipita kwa mbinde
Source: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA KIGOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]KIGOMA KASKAZINI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Political Party[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Number of Votes[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]Percentage Votes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] ZITTO KABWE ZUBERI [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CHADEMA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]23,366[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 48.57[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LEMBO ROBINSON FULGENCE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CCM[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]18,352[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 38.15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] OMARY MUSSA NKWARULO [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CUF[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]4,839[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 10.06[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHONGERA HARUNA CHONGERA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]CHAUSTA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]264[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.55[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MFAUME HAMISI MFAUME [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]APPT - MAENDELEO[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]108[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] AUGUSTINO PETER MBOLEGWA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]SAU[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]88[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] GERMANI MAULIDI MLETE [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]DP[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]87[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.18[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] HAMISI FADHILI KISWAGA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]NRA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]47[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.1[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] MAUWA SHAURI KAMANA [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]JAHAZI ASILIA[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]19[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.04[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] TATU SAIDI HUSSEIN [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"]UMD[/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]8[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 0.02[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 5%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 15%, align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"]927[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 1.93 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%, align: center"] [/TD]
[TD="width: 20%, align: right"] 48,105[/TD]
[TD="width: 15%, align: right"] 100[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mkuu ushahidi upo kwa Kurugenzi ya Habari ambao alituletea picha za Kahama kumejaa minazi, teh teh teh.
ukweli ni kwamba mzee slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kufika uwanjani kwa kile kilichokuwa kinaonekana mjini hapo kuwa kuna dalili za kuzomewa na kufanyiwa fujo, hata hivyo mkutano haukuwa na watu kabisa mpaka ilipofika saa 11;30 aliamua kwenda kuwasailimia wananchi wachacche waliokuwepo uwanjani, lakini alipokaribia uwanjani alikutana na watu wmebeba mabango yaliyomzomea na mengine kuandikwa jina la zitto.
nashangaa leo eti wanadanganya kuwa alihutubia mkutano mkubwa, na wandanganya kuwa waliweka mafuta machafu mkoani pwani...teh teh....waseme ni kituo gani kama wanajiamini.
Leo yatakayomkuta kigoma ni mpya hatakaa asahau.... Brigedia Nyakarungu
kinana nae alikua kahama?...ama umelinganishaje?.asikudanganye mtu... Mi niko kahama na mimi ni magamba kama wewe lakini mkutana wa slaa ulifunika mara 3 ya ule wa kinana.msema ukweli ni mcha mungu
Thibitisha kuwa ni za mwaka 2011...
Thibitisha kuwa ni za mwaka 2011...