CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

Poleni sana ule umati wa wanakahama ni pigo takatifu kwenu masalia na vimelea vyake vyote
 
wewe dada MwanaDiwani,

acha wenye cdm waongee. unajifanya kuiongelea. huji lolote tu dada yangu. tuliokuwepo kwenye mkutano tunajua kila kitu. subirini pandikizi lenu linatoswa muda si mrefu, jiandae lipo-ozee kwako.

 

Ile picha watu werevu waliishtukia kwa sababu Dr. Slaa kafika uwanjani saa 12 na robo lakini kwenye ile picha jua kali linawaka. Kahama saa 12 na robo hakuna jua kali!

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
 
bi mkubwa ZeMarcopolo hujatulia kabisa.

Ile picha watu werevu waliishtukia kwa sababu Dr. Slaa kafika uwanjani saa 12 na robo lakini kwenye ile picha jua kali linawaka. Kahama saa 12 na robo hakuna jua kali!

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
 
Tatizo watu mnaanza kutukanana jamani why?

Naomba huyu anaejiita molemo atutajie kituo cha mafuta kilichowekwa mafuta machafu...maana ni kosa kabisa kisheria, sasa ataje hicho kituo sasa ili watu waamini kuwa mzee slaa alichelewa kufika kahama...nachojua slaa alifika kahama saa 9 alasiri lakini alishindwa kwenda uwanjani kwa idadi ndogo ya watu na aliambiwa kuna abango yamebebwa na ataweza kuzomewa lakini aliamua kukaa mpaka saa 11;30 aliponda uwanjani kusalimia tu wala hakuhutubia
 
ile picha watu werevu waliishtukia kwa sababu dr. Slaa kafika uwanjani saa 12 na robo lakini kwenye ile picha jua kali linawaka. Kahama saa 12 na robo hakuna jua kali!

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...

asikudanganye mtu... Mi niko kahama na mimi ni magamba kama wewe lakini mkutana wa slaa ulifunika mara 3 ya ule wa kinana.msema ukweli ni mcha mungu
 

Huyo nyakarungu tulishamfukuza siku nyingi hana jipya zaidi ya kelele mi tandaoni.CDM ni taasisi kubwa huku DR SLAA KULE LEMA,HUKU HECHE,KULE MAWAZO,HUKU LISSU, KULE MSIGWA,HUKU PR.SAFARI,KULE MBOWE ili mradi ni kuwashambulia tu hawa wakoloni weusi.mtapotosha sana mitandaoni lakini CDM itaendelea kuwatesa
 

PROPAGANDA hizi zinaletwa kwenu kwa hisani ya watu wa Chadema "CHUMBANI"
 
Ile picha watu werevu waliishtukia kwa sababu Dr. Slaa kafika uwanjani saa 12 na robo lakini kwenye ile picha jua kali linawaka. Kahama saa 12 na robo hakuna jua kali!

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Mkuu,

Ile picha nilivyoiona niliwambia wazi Mods wa JF piga life ban hii Kurugenzi ya Habari kwa kuleta uongo JF.

Cha kusikitisha zaidi pro-Chadema walivyokuwa walaghaika wakawa wanashangilie ile picha bila kuhoji chochote.

Chadema wameyakoroga wenyewe.
 

Unaongelea magazeti ya udaku? HABARI LEO,MZALENDO,TAZAMA AMA UHURU? vipi matamko yamekwisha au watu wamegoma kutumika?
 
Last edited by a moderator:
ushahidi gani unataka kamanda wakati mambo yapo wazi dr.slaa kazomea jana kahama.

mimi nilikuwepo mkutanoni mwanzo mwisho hakukuwa na zomea labda umrchanganya na mkutano wa kinana
 

Molemo ni kibaraka mkubwa wa babu Slaa,ni kama alivyo ben Saa 8 kwa Mbowe
 

We msukule wa Muua Panya huwezi kuondoka Dar asubuhi ukafika Kahama saa tisa alasiri. Hivi muua Panya huwa hawaachii hata kumsaidia kupiga honi wakati anaendesha ile Hummer aliyohongwa na Rostam!? Inaonekana mambo ya magari yamewapita kushoto kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…