CHADEMA si CHADEMA tena

Duh! Ni hatari
 
Halafu chadema ukiutaja huu mgwanyiko wanatukana hao ! Mpaka matusi ya nguoni !
 
Siku sizonje akiruhusu siasa nakuambia tutamzika. Lazima pressure itampanda na kufa hapo hapo kwa mikutano moja tu.

Kama yeye mwanaume kweli najaribu zone.
 
Kwani hata katika uchaguzi wa TLS alichaguliwa na wote,waliyompimga ndiyo waliogoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mburula wa Lumumba mumeishiwa kweli kweli hapo mwenyewe unaona umetumia akili kuandika ujnga huu na mazwazwa wenzio wote wa bk7 wamekugongea like.
 
Miaka ya juzi juzi Chama Cha Demorasia na maendeleo CHADEMA kilipata umashuhuri mkubwa sana hadi bei ya kadi moja iliyopangwa na chama ilikuwa sh 1500/-. Lakini katika blaki maketi kadi ilifika hadi sh 3000/- na maeneo mengine hadi 3500/-.

Je leo hii katika blaki au waiti maketi inaweza kuwa sh ngapi kwa bei ya kadi moja?
 
Kumbe?
 
Ok sawa, za chama chakavu sasa hivi ni bei gani? Au mnafanya promotion ya buy one get four??
 
Hivi siku hizi kuna vyama vya upinzani au kuna Chadema tu? Maana upande fulani mmepanic sana. Lakini pia niendelee kuwashauri, attacking and weakening Chadema is a very wrong strategy, especially if you can't make strides on what you promised to the people...Come 2020, hatutauliza wanachadema wangapi walikamatwa au mikutano mingapi ya Chadema ilifutwa. Tutadai Tanzania ya viwanda. Tutadai 50 million kila kijiji. Tutadai maji safi na salama kwa asilimia kubwa ya Watz. Tutadai uhakika wa shule na matitababu n.k. This is what will cost you.
 
CCM kiboko yao ni CDM
 
CCM kiboko yao ni CDM
Labda ni kweli. Maana naona kama wanachama wao sasa wamezidi woga. Mimi ningetegemea wanachama serious wa chama kinachotawala, wangekuwa na muda mwingi wa kujadili zaidi utekelezaji wa sera zao. But now Chadema has turned to be their number one paranoia...
 

Namkumbuka sana Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu. Huyu ndio alifaa kuja kuwa mgombea Urais 2020 kwa tiketi ya Chadema. Majambazi wakamdhuru. Chadema ipo kimyaaaaaaaaaa hata hatupati maendeleo yake.
 
Namkumbuka sana Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu. Huyu ndio alifaa kuja kuwa mgombea Urais 2020 kwa tiketi ya Chadema. Majambazi wakamdhuru. Chadema ipo kimyaaaaaaaaaa hata hatupati maendeleo yake.
KUFIKIA 2020 hapatakuwa na chadema
 
nahisi unabii wangu unaendelea kufanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…