CHADEMA Shadow Cabinet: Jokers & Comedians!

This is a clear proof that you know nothing about these pple u r tryin' to criticise. Unaoperate kwa hisia na few may be one personality unayoijua. Makosa dhahiri kama haya yanaondoa uzito wote wa hoja na kuonekana ni uzushi period.

Kwahiyo mbunge wa Iremela ni mwanamke? kwa mujibu wa huyu JUHA alianzisha hii thread? ngoja niangalie thread za maana huyu anawatafutia watu ban mpuuzi huyu hana lolote.
 
U back with non sense, and dond't try again kuja hapa jamvini na thread za kusadikika. Nyambafu.
 

regia mbona unadanganya sana? chuoulifanya nini? na huko chadema ulipokimbiziwa na kafulila umefanya nini hadi uwekwe kwenye rekodi za kukumbukwa? wewe hujui nimesoma na wewe, suplimentary ngapi ulipata? acha majibu ya kitaarabu yani wewe huna akili kabisa, sababu ulizotoa za mbowe kuteua vivuli ni dhaifu na hazina kichwa kabisa naomba uwe unajizuia kuandika vitu usivyo na uwezo navyo....tumekuona kwenye maanamano hauna mvuto dada zaidi ya kukariri wanayoyasema wenzako na kuanza kuyatapika kila jukwaa unaongea udandiaji na sijakusikia ukigusia wizara yako acha kuwa golikipa wewe wa hoja.
 


This is NONSENSE!

Ulichofanikiwa ni kuchanganya lugha tu lakini hakuna chochote cha maana kwenye thread hii.
Mtawadanganya watu fulani tu kwa wakati wote lakini hamuwezi kuwadanganya watu wote
wakati wote.
 
Hili limbukeni la CCM sijui limetokea wapi,haya nenda kachukue posho ofisi za CCM kwa upuuzi uliotumwa uandike na bwana MSEKWA,ANGUKO LA CCM LIMETIMIA
 
sikubaliani na baadhi ya assessment ya mleta hoja lakini nakubali kuwa hawa jamaa walitakiwa wawe visible zaidi kuliko kujificha nyuma ya pazia

waziri kivuli wa afya hajaonekana na hakuna alternative policy toka kwa chama kikuu cha upinzania on solution ya hii migomo ya madaktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…