Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 80
CHADEMA wanatembeza kipigo cha mbwa mwizi kwa ccm bila huruma........................
Tanzania ya 2015 itakuwa hivi:
View attachment 67825
R.I.P. My dear CCM
CDM wanatapata tu.
Waelimishwe umuhimu wakupiga kura hao wa2,tunataka ushindi mkubwa na wala co wakubeza people ponnnnonwer.
Ukiangalia kwa makini vidole vimeelekea kaskazini why?
Sisi wasukuma wa Geita, Nyarugusu, Kakola, ni CCM tu, nyie CDM kwenu ni Moshi.
chadema ni kama moto wa petrol hauzimiki kirahisi sana. Kila la heri makamanda kandamizeni vya ukweli wakuu. Mawazo big up, bananga twende kazi.
Ukiangalia kwa makini vidole vimeelekea kaskazini why?
kwuikwikwikwiwkiksema mimi usiwaweke wenye akili zaoSisi wasukuma wa Geita, Nyarugusu, Kakola, ni CCM tu, nyie CDM kwenu ni Moshi.
Ukiangalia kwa makini vidole vimeelekea kaskazini why?
Time will tell.....
CCM, you cant stop the rain.
Chadema ni kama mvua, inapiga tu hata ukibeba mwavuli
Kamanda sio kama mvua tu bali CDM kupitia M4C ni Kimbunga ambacho kama hakijabomoa nyumba nzima basi hung'oa paa.So na bado wewe tulia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa tumepania kila kijiji tunakuwa kumbakumba bila kulala kuhakikisha wenyeviti wa vijiji nchini Robo tatu watokane na CDM.M4C haina msamaha kwa magamba wala waliofunga ndoa na Magamaba.