Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 #1 Wakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.
Wakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #2 Hayo majengo ndio yatapiga kura
Mupirocin JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 1,763 Reaction score 819 Apr 29, 2019 #3 Mtakuwa mmekodi tu hizo nyumba huoni hata rangi zenyewe. Uwezo wa kujenga ofisi hakuna.
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #4 Pole sana kwa kuendelea kuwa na akili za kuokoteza Mupirocin said: Mtakuwa mmekodi tu hizo nyumba huoni hata rangi zenyewe. Uwezo wa kujenga ofisi hakuna Click to expand...
Pole sana kwa kuendelea kuwa na akili za kuokoteza Mupirocin said: Mtakuwa mmekodi tu hizo nyumba huoni hata rangi zenyewe. Uwezo wa kujenga ofisi hakuna Click to expand...
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #5 Wapiga kura wapo wengi sana CHADEMA ndiyo maana mnawaogopa hata kuwaruhusu kufanya mikutano wa stendi said: Hayo majengo ndio yatapiga kura Click to expand...
Wapiga kura wapo wengi sana CHADEMA ndiyo maana mnawaogopa hata kuwaruhusu kufanya mikutano wa stendi said: Hayo majengo ndio yatapiga kura Click to expand...
kimu mazengo JF-Expert Member Joined Sep 30, 2018 Posts 927 Reaction score 734 Apr 29, 2019 #6 Llpl ppl wa stendi said: Hayo majengo ndio yatapiga kura Click to expand... Kwani yale majengo ya maccm nd yatapiga kula???
Llpl ppl wa stendi said: Hayo majengo ndio yatapiga kura Click to expand... Kwani yale majengo ya maccm nd yatapiga kula???
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #7 Aliewaogopa nani wakati watu wote walipiga kura kwa pamoja Mmawia said: Wapiga kura wapo wengi sana cdm ndiyo maana mnawaogopa hata kuwaruhusu kufanya mikutano Click to expand...
Aliewaogopa nani wakati watu wote walipiga kura kwa pamoja Mmawia said: Wapiga kura wapo wengi sana cdm ndiyo maana mnawaogopa hata kuwaruhusu kufanya mikutano Click to expand...
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #8 Kwa hiyo nyie mnaangalia majengo kimu mazengo said: Llpl pplKwani yale majengo ya maccm nd yatapiga kula??? Click to expand...
Kwa hiyo nyie mnaangalia majengo kimu mazengo said: Llpl pplKwani yale majengo ya maccm nd yatapiga kula??? Click to expand...
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #9 Naona hujui unacho kiongea pole sana wa stendi said: Aliewaogopa nani wakati watu wote walipiga kura kwa pamoja Click to expand...
Naona hujui unacho kiongea pole sana wa stendi said: Aliewaogopa nani wakati watu wote walipiga kura kwa pamoja Click to expand...
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #10 Asante sana mkuu kwa jibu zuri sana kwa hilo gamba wa stendi said: Kwa hiyo nyie mnaangalia majengo Click to expand...
Asante sana mkuu kwa jibu zuri sana kwa hilo gamba wa stendi said: Kwa hiyo nyie mnaangalia majengo Click to expand...
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #11 Mmawia said: Naona hujui unacho kiongea pole sana Click to expand... Wewe ndo nikuambie pole kwanza huko kwenye siasa wala sipo hapo najaribu kufanya takwim tuu
Mmawia said: Naona hujui unacho kiongea pole sana Click to expand... Wewe ndo nikuambie pole kwanza huko kwenye siasa wala sipo hapo najaribu kufanya takwim tuu
funaku JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 38,534 Reaction score 31,199 Apr 29, 2019 #12 mmeacha kulipa kodi kwa baba mkwe pale ufipa?
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #13 wa stendi said: Wewe ndo nikuambie pole kwanza huko kwenye siasa wala sipo hapo najaribu kufanya takwim tuu Click to expand... Basi kama haupo pita zako wima wima maana hili ni jukwaa la siasa
wa stendi said: Wewe ndo nikuambie pole kwanza huko kwenye siasa wala sipo hapo najaribu kufanya takwim tuu Click to expand... Basi kama haupo pita zako wima wima maana hili ni jukwaa la siasa
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #14 Labda mkweo jingalao said: mmeacha kulipa kodi kwa baba mkwe pale ufipa? Click to expand...
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #15 Ok blaza Mmawia said: Basi kama haupo pita zako wima wima maana hili ni jukwaa la siasa Click to expand...
Ok blaza Mmawia said: Basi kama haupo pita zako wima wima maana hili ni jukwaa la siasa Click to expand...
Q qambalali Bura Member Joined Aug 11, 2018 Posts 49 Reaction score 61 Apr 29, 2019 #16 wa stendi said: Wewe ndo nikuambie pole kwanza huko kwenye siasa wala sipo hapo najaribu kufanya takwim tuu Click to expand... unaongelea majengo wakati kila kukicha watu wanahama chama
wa stendi said: Wewe ndo nikuambie pole kwanza huko kwenye siasa wala sipo hapo najaribu kufanya takwim tuu Click to expand... unaongelea majengo wakati kila kukicha watu wanahama chama
Subira the princess JF-Expert Member Joined Mar 3, 2018 Posts 4,465 Reaction score 4,614 Apr 29, 2019 #17 wa stendi said: Hayo majengo ndio yatapiga kura Click to expand... Ataepigia kura ccm akapimwe akili
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #18 Mmawia huyo qambalali Bura said: unaongelea majengo wakati kila kukicha watu wanahama chama Click to expand...
Mmawia huyo qambalali Bura said: unaongelea majengo wakati kila kukicha watu wanahama chama Click to expand...
Mmawia JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 122,521 Reaction score 96,267 Apr 29, 2019 Thread starter #19 Wanahama au wananunuliwa? Kwa cdm ni kata mti panda miti qambalali Bura said: unaongelea majengo wakati kila kukicha watu wanahama chama Click to expand...
Wanahama au wananunuliwa? Kwa cdm ni kata mti panda miti qambalali Bura said: unaongelea majengo wakati kila kukicha watu wanahama chama Click to expand...
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,008 Reaction score 28,342 Apr 29, 2019 #20 Tatizo apige asipige lakini atatangwazwa tuu mkubwa Subira the princess said: Ataepigia kura ccm akapimwe akili Click to expand...
Tatizo apige asipige lakini atatangwazwa tuu mkubwa Subira the princess said: Ataepigia kura ccm akapimwe akili Click to expand...