mtume pauli
Member
- Mar 8, 2012
- 44
- 6
hakika umenena vyema. kila neno ulilosema ni ukweli mtupu ila ukweli unaouma.inasemekana pesa ilitoka ccm - kwenda - kwa wananchi - halafu wananchi wakaipeleka cdm. hii nayo inahitaji kufikiriwa. unayetoa pesa umenyimwa kura na anayeomba pesa kapewa na kura kapata, hayo mapya.