William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
- Well, jana Demokrasia imechukua mkondo wake na Chadema wameibuka washindi katika mchuano mzito sana, binafsi ninawapa congratulitons straight form my heart kwamba ushindi wao ulikuwa ni wa kishindo na sasa ni wakati wa kusonga mbele na kujali TAIFA KWANZA!
- CCM pia wanahitaji heshima kubwa kwa kukubali matokeo bila vurugu wala ubishi wa kuibiwa kura, matokeo ya uchaguzi wa jana yawe ni changamoto kwa vyama vyote vya siasa nchini kwamba siasa sio uadui wala vita, na asiye kubali kushindwa sio mshindani!
- SALUTE CHADEMA NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
- CCM pia wanahitaji heshima kubwa kwa kukubali matokeo bila vurugu wala ubishi wa kuibiwa kura, matokeo ya uchaguzi wa jana yawe ni changamoto kwa vyama vyote vya siasa nchini kwamba siasa sio uadui wala vita, na asiye kubali kushindwa sio mshindani!
- SALUTE CHADEMA NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.