hadi kuomba kuchangiwa pesa wamekata pumzi, dahCHADEMA pumzi imekata! Kwa sasa viongozi wa CHADEMA wameamua kwenda na upepo uliopo wa kisiasa nchini. Wamebaki kuwa motivational speakers kwenye majukwaa na kutupiana maneno tu na baadhi ya makada wa CCM bila hatua zozote za maana.
Sasa wananchi wanaonekana kuchanganyikiwa na hawaelewi hawa makada wa CHADEMA. Ujasiri wa kweli umebaki kwa Mwenyekiti wao, ambaye ameamua kupigania haki ya kweli bila kuuza roho yake kwa shetani.
Hawa viongozi wa CHADEMA hawana tena ujasiri wa kupambana na dola kama alivyokuwa akifanya Tundu Lissu; ni waoga wa kuitisha maandamano na waoga wa kuitwa Central.
BACK TO DEFAULT SET
TINGS.
Wewe kazi yako ni ngum sana.hadi kuomba kuchangiwa pesa wamekata pumzi, dah
Kivipi!?Una ID nyingi sana.
Na huwa unakuwa wa kwanza kujilike au kujichekesha.
Wewe tlatla ulivyo mjinga unafikiri adui wa huu uongozi feki ni chadema🚮hadi kuomba kuchangiwa pesa wamekata pumzi, dah
kueleza ukweli ni kazi ambayo haijawahi kua ngumu gentleman, labda kwa mtu mvivuWewe kazi yako ni ngum sana.
hapana gentleman,Wewe tlatla ulivyo mjinga unafikiri adui wa huu uongozi feki ni chadema🚮
Na ukawadanganya watu humu kuwa wewe ni mbuge?hapana gentleman,
maadui wa Tanzania ni wale wote wanaokerwa na kazi nzuri sana ya maendeleo inayofanywa na serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi shupavu sana Dr.Samia Suluhu Hassani
Rudia maneno yako japo mara mbili iwapo unaamini ukisemacho!CHADEMA pumzi imekata! Kwa sasa viongozi wa CHADEMA wameamua kwenda na upepo uliopo wa kisiasa nchini. Wamebaki kuwa motivational speakers kwenye majukwaa na kutupiana maneno tu na baadhi ya makada wa CCM bila hatua zozote za maana.
Sasa wananchi wanaonekana kuchanganyikiwa na hawaelewi hawa makada wa CHADEMA. Ujasiri wa kweli umebaki kwa Mwenyekiti wao, ambaye ameamua kupigania haki ya kweli bila kuuza roho yake kwa shetani.
Hawa viongozi wa CHADEMA hawana tena ujasiri wa kupambana na dola kama alivyokuwa akifanya Tundu Lissu; ni waoga wa kuitisha maandamano na waoga wa kuitwa Central.
BACK TO DEFAULT SETTINGS.
View attachment 3611871
huna haja ya kuweweseka na kujaribu kuhamisha mjadala gentlemanNa ukawadanganya watu humu kuwa wewe ni mbuge?
Tlaatlaah unahangaika Sana.CHADEMA pumzi imekata! Kwa sasa viongozi wa CHADEMA wameamua kwenda na upepo uliopo wa kisiasa nchini. Wamebaki kuwa motivational speakers kwenye majukwaa na kutupiana maneno tu na baadhi ya makada wa CCM bila hatua zozote za maana.
Sasa wananchi wanaonekana kuchanganyikiwa na hawaelewi hawa makada wa CHADEMA. Ujasiri wa kweli umebaki kwa Mwenyekiti wao, ambaye ameamua kupigania haki ya kweli bila kuuza roho yake kwa shetani.
Hawa viongozi wa CHADEMA hawana tena ujasiri wa kupambana na dola kama alivyokuwa akifanya Tundu Lissu; ni waoga wa kuitisha maandamano na waoga wa kuitwa Central.
BACK TO DEFAULT SETTINGS.
View attachment 3611871
Lkn wakisema mfanye uchaguzi huru na haki ili nyinyi mliokuwa hamjakata roho mshinde mnakataa.CHADEMA pumzi imekata! Kwa sasa viongozi wa CHADEMA wameamua kwenda na upepo uliopo wa kisiasa nchini. Wamebaki kuwa motivational speakers kwenye majukwaa na kutupiana maneno tu na baadhi ya makada wa CCM bila hatua zozote za maana.
Sasa wananchi wanaonekana kuchanganyikiwa na hawaelewi hawa makada wa CHADEMA. Ujasiri wa kweli umebaki kwa Mwenyekiti wao, ambaye ameamua kupigania haki ya kweli bila kuuza roho yake kwa shetani.
Hawa viongozi wa CHADEMA hawana tena ujasiri wa kupambana na dola kama alivyokuwa akifanya Tundu Lissu; ni waoga wa kuitisha maandamano na waoga wa kuitwa Central.
BACK TO DEFAULT SETTINGS.
View attachment 3611871
Sijahamisha mjadala wewe ni mbunge au sio mbunge?huna haja ya kuweweseka na kujaribu kuhamisha mjadala gentleman
jikite kwenye hoja mahususi mezani gentleman na itapendeza zaidiSijahamisha mjadala wewe ni mbunge au sio mbunge?
Endelea kuchapa maneno kwenye jukwaa kiongozi.kueleza ukweli ni kazi ambayo haijawahi kua ngumu gentleman, labda kwa mtu mvivu
Kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.Rudia maneno yako japo mara mbili iwapo unaamini ukisemacho!
hapana gentleman,
maadui wa Tanzania ni wale wote wanaokerwa na kazi nzuri sana ya maendeleo inayofanywa na serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi shupavu sana Dr.Samia Suluhu Hassani