CHADEMA predicted a dictatorship regime if elected 2015. Know Why?

Ha ha ha haaaaaaaa! I have noted a thing here that for the sake of reducing the number of contributers, bring the topic to discuss IN UNG'ENG'E altenatively called English. Hapo baaaaaaasi. Utaona watu meno yanavyogongana, macho yanavyokodolea screen ya pc muda mrefu. Sentensi na maneno zinavyoandikwa na kufutwa mara hamsini hamsini. Kaaaaaaazi kwelikweli!
 

Yaani Tenende umejaribu kufafanua jambo fulani tu ndani ya hoja yangu lakini hujatoa maoni yako juu ya nini kifanyike ili kuleta harmony kati ya cdm na dola. Kubali usikubali cdm itatakiwa kufanya kazi na dola hii hii ambayo leo inaiona haifai. Usalama hao hao ndiyo watailinda cdm. So changia namna ya kufanya.
 
Pukudu

Nina shaka na wema wa cdm kiasi kwamba ibadilishe mfumo kwa maslahi ya wapinzani wao!
 
Last edited by a moderator:
We still, in the move, witnessed the party's struggle to weaken the power of the law through illegal demonstrations, workers strikes with oppositions political face, uttering ambiguos statements aiming at instigating insecirity etc.

Siamini kama wewe unaongea mambo haya ukiwa Tanzania? Hiyo "we... witnessed" mmeshuhudia wewe na nani? Ni wapi ambako CDM imefanya mikutano au maandamano bila kutoa taarifa polisi? Au na wewe unashabikia ujinga wowote unaouona? Ni tamko gani tata lililohatarisha usalama?
 
MKALIMOTTO

Mkuu umefanya proof reading ya hii kitu, ipange vizuri kidogo halafu kama contents na heading haviendani.
 
Last edited by a moderator:
My friend ukienda shule za mjini Dar kama vile Loyola na kusema, "Nimemwaga UNG'ENG'E!" watakachoelewa ni kwamba wewe ume"pass" wind au umepumulia chini!.

 

Mkutano wa Nyololo Iringa ulizuiwa na polisi na kufanyika kwake kukasabbisha mauaji ya Mwangosi. Kule Arusha the same. Kwa upande wa kauli ni ile ya Slaa kumhakikishia kuwa cdm itahakikisha nchi haitawaliki. Pia sms aliyoituma kwa IGP ya kumtaka aandae risasi za kutosha....... Bado?
 
CDM haina mgogoro wowote na askari wa kawaida, TAKUKURU, na usalama wa taifa bali mifumo yake na wakubwa a taasisi hizo wanavyotumika kuua na kunyonga haki za wanyonge!
 
CDM haina mgogoro wowote na askari wa kawaida, TAKUKURU, na usalama wa taifa bali mifumo yake na wakubwa a taasisi hizo wanavyotumika kuua na kunyonga haki za wanyonge!

Tenende hakuna cha mfumo hapo! Duniani kote Military formations ni universal. Hakuna dola iliyo against na inpower govt unless otherwise imeasi.
 

Ukiwa kibaraka wa Magamba angalau ufiche aibu yako kidogo.
 
On a serious note ni bora mara elfu kumi kuwa na dictatorship regime kuliko CORRUPT regime!!!!!!!!!
 
Tunachotaka ni mabadiliko tu, bora dictator ashike nchi angalau miaka 5 kwanza ashikishe adabu na kurudisha mali na fedha zilizoibwa, ndipo tuanze upya na demokrasia.
 
do you oppose that there is no any corruption in the system of your government of which CHADEMA opposes? mind you its better you live with a dictator leader who aim to transform the rubbish system into cleaned model of living rather than a democratic leader of whom always prepare war ,segregation,selling of national surplus in his own beneficial like JK over
 
I think any style isn't good for our country i.e. dictatorship or democratic system will not be effective after the 2015 election. We need a new style that will make everyone not to feel offended or not waste more time trying to prepare for the next 2020 election but to work for the country.
For instance, CDM can optimize the combination of military rules (20%), democratic rules (50%) and (30%) dictatorship rules mixed with socialism and capitalism where necessary. These kind of system will depend with the areas and reasons to apply.
 
Tatizo kubwa ni kuiga, we have to think of our own style and system of ruling our country.
 
My friend ukienda shule za mjini Dar kama vile Loyola na kusema, "Nimemwaga UNG'ENG'E!" watakachoelewa ni kwamba wewe ume"pass" wind au umepumulia chini!.

Hivi Kigogo ni mjini?
 

Ad hominem fallacy .
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…