chilubi hata iweje uislam hauji kua juu ya ukristo..
Jipe moyo kijana ivo ivo!!
Last edited by a moderator:
chilubi hata iweje uislam hauji kua juu ya ukristo..
CHADEMA ni chama cha Kaskazini.
hatutaki vurugu zenu. hamna jipya mtokuja nalo
pandikikizi hilo.Nadhani ombi langu linafanyiwa kazi kuna mdau mmoja nimemuuliza kasema hiyo inawezekana kabisa tena wanampango huo. Yeye ni CDM yuko znz na nimzenji
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
chilubi hata iweje uislam hauji kua juu ya ukristo..
Utakuja kuwa juu ya Wakristo wakati wa Mpinga Kristo. But as for now, wasahau
chilubi hata iweje uislam hauji kua juu ya ukristo..
Jipya wanalo waliberali na Mashoga wenzao magamba waliowaoa?
Zanzibar iko chini ya mkoloni yupi?ina maana hao viongozi wazalendo WA Zanzibar ni wakoloni?Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni kwamba wazanzibar wamemiss sana nyakati zile za utumwa,mnahamu sana ya kutawaliwa tena na waarabu,CHADEMA ipo kwa wale wanaotaka KUJITAWALA na si KUTAWALIWA!Poleni sana!!!!unayo habari? Je umesahau? ni wazanzibari, wapenda nchi yao, wazalendo, wanaharakati, wana kindakindaki na wale wanaosema kwa yakini ya mioyo yao na kuthibitisha kwa vitendo vyao mapenzi makubwa ya nchi yao. Wale wanaoamini kwamba vyovyote na iwe lakini Zanzibari ibaki huru yenye mamlaka yake kamili. Umma huo utakusanyika kesho Jumamosi tarehe 01/06/2013 katika viwanja vya Demokrasia Kibanda Maiti. Uwanja wa Kibanda Maiti utageuka Tahrir Square ya Misri na kuudhihirishia ulimwengu kwamba wazanzibari kwa amani kabisa wanataka mamlaka kamili ya nchi yao tukufu. Unamuogopa nani ewe mzanzibari? Ogopa nchi yako kuendelea kuwa chini ya ukoloni. Hapa ni Zanzibar kwanza, itikadi ni baadae. Viongozi mbali mbali wa vyama mbali mbali wazalendo wenye uchungu na nchi yao wanatarajiwa kuhudhuria.
Shime wazanzibari tujitokeze kwa wingi. Mambo yataanza saa 2:00 za asubuhi mpaka saa 12:00 jioni. Mgeni Rasmi ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI
ZANZIBAR KWANZA!
Chadema wanaogopa kudhalilika na kuumbuka wakienda znz...hawakubaliki kabisa huko, wao ni kaskazini tu
hatutaki vurugu zenu. hamna jipya mtokuja nalo