vyuku
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 503
- 87
Kwanza wazanzibar hawana haja na chama chengine kule,na kwa sasa hawatarejea waloyafanya miaka ya 2000,na wanajua wazi kuwa CHADEMA ni chama cha fujo,udini na ukabila,htbukikataa ukweli ndio huo,kwa hiyo hawana haja tena na ugomvi maana wazanzibar ni wakomavu wa siasa kwa sasa,wacha tu chadema iishie hukuhuku kaskazini.