CHADEMA, Ofisi hii inakidhalilisha Chama

CHADEMA, Ofisi hii inakidhalilisha Chama

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
4,712
Reaction score
11,987
CHADEMA ni Chama kikuu Cha upinzani Tanzania, ndio mbadala wa CCM kwa Sasa, Ofisi kama hii hapa chini inashusha hadhi hii adhimu ya Chama.

Kama Ofisi imebidi itumike kama genge la biashara, basi maneno ya Chama yaondolewe.

Screenshot_20240617-203020.jpg

 
Hapo zilikuwa ofisi za zamani CHADEMA now wamehama
Akapangisha huyo muuza duka na nyanya
Inamaana umeshindwa hata kutambua hilo au uliamua tu kutaka watu waone umeandika THREAD kuhusu CHADEMA
 
Hapo zilikuwa ofisi za zamani CHADEMA now wamehama
Akapangisha huyo muuza duka na nyanay
Inamaana unmeshindwa hata kutambua hilo au uliamua tu kutaka watu waone umeandika THREAD kuhusu CHADEMA
Sasa kama ofisi haina kazi kwan n vibaya mwenyekiti wa kata wa Chadema kufanyia biashara?
 
Ofisi kama chumba cha mganga wa kienyeji? Kweli hiki chama kina matatizo sana.sijuwi kinaongozwa na viongozi wenye akili za namna gani? Maana inakuwa ni kama kinaongozwa na vipofu gizani wanaopaza sauti kwa wenzao kwa kuunguruma kuwa wapo kwenye njia sahihi na waendelee kusonga mbele kwa kasi.
 
CHADEMA ni Chama kikuu Cha upinzani Tanzania, ndio mbadala wa CCM kwa Sasa, Ofisi kama hii hapa chini inashusha hadhi hii adhimu ya Chama.

Kama Ofisi imebidi itumike kama genge la biashara, basi maneno ya Chama yaondolewe.

huenda hapo wamampa muwekezaji kwa sharti la kuendeleza chama na kuongeza wanachama zaidi baada ya wao kishindwa gharama za kuiendesha ofisi hiyo :pedroP: :pedroP:
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Ofisi haina cha maana cha kufanya wakaona isiwe taabu, wakajiongeza. Safi.
 
Back
Top Bottom