Akili yako wewe huwezi kumuelewa mleta hata uusome uzi huu mwaka mzima
Mkuu huyo mdam cockroach asikupotezee muda bure uchangiaji wake ni wa ki kenge kenge kama sura yake. Hana jipya huyo mkuu yeye ni unazi wa kichama tu.
Akili yako wewe huwezi kumuelewa mleta hata uusome uzi huu mwaka mzima
Kafulila, Masha, Katambi.....CCM inajua sana kutumia njaa za watuNakubaliana nawe kwa %90, Kwa mfano naamini kabisa kafulila Kama angepita ktk ubunge wake Leo asingehama upinzani.Ni hali tu ya maisha imemtandika imebidi afanye hivyo.
Ni kweli mkuu hilo binti ni taahira fulani hiviMkuu huyo mdam cockroach asikupotezee muda bure uchangiaji wake ni wa ki kenge kenge kama sura yake. Hana jipya huyo mkuu yeye ni unazi wa kichama tu.
Wewe kuitwa msukule ni neno chafu???Angalia basi comment zako ubavyozodolewa unastahili kuitwa msukule
Kwanini uwe unazodolewa wewe tuu??Ujue unamapungufu watu wote wakuchukie???Oooh
Kuzodolewa hiyo najulikana humu huwa hainigusi hata kwa nchaaaa.. nikiamua najibu nonodz tu na wanakimbiaga..
Unaogopa mbona ha ha haaaaaa..
CIAO
we jamaa unachekesha sana! unapambana kwa namna gani sasa, huku idadi yenu ikizidi kupukutika?Mapambano bado yataendelea tulisha yaanza lazima tuyamalize hatuwez kuwa wajinga kiasi icho CMM 2020 ndo mwisho wake kwenye ramani ya Tanzania ikumbukwe iii