Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Nakubaliana na wewe baba mchungaji kwa 110%
Nakubaliana na watangulizi wa hapo juu kuwa kitendo walichokifanya wabunge wa CHADEMA jioni hii ni cha kuungwa mkono na wapenda demokrasia wote.Nina imani hawakukurupuka kuchukua uamuzi huu maana wana wanasheria mahiri na makini na hivyo kufikisha ujumbe husika kwa jumuiya ya kimataifa.Naamini matokeo ya tukio la leo ni mwanzo mzuri wa kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi,la sivyo tutaendelea kudhulumiwa matokeo yetu halali yz uchaguzi.Hata C.C.M wanaotubeza ni wahanga wakubwa wa mfumo huu mbovu wa uchaguzi unaohalalisha uchakachuaji wa matokeo halali ya kura.Bravo CHADEMA
Rev.Kishoka,
Duh! Hivi Chadema walitoka nje ya Bunge kwa sababu hawamtambui JK au kazungumza vitu ambavyo vinakidhalilisha chama chao!. Ebu nijuze wakuu zangu nimetoka kapa maanake hata huyo Ahamadinajad hutinga UN na hukaribishwa, only akiongea utumbo ndio watu hutoka nje.
Ni ujumbe gani Chadema wameutuma kwa wananchi?
Most of the time huwa napima mazungumzo ya kikwete na nimegundua kwamba huyu jamaa ana ufinyu wa fikira....Hebu Ona alichosema hapa
'Tumefanya vizuri sana upande wa michezo,tumeleta makocha wa kizungu kufundisha timu zetu..'...Hivi kweli michezo ni mpira tu ? hapa issue ni kuweka policy nzuri kuhakikisha micehzo yoote inainuka.....Hii ni akili mgando kabisa....
Akaendelea kujifagilia kuhusu kuwa fundi wa kikapu na kuingia ikulu kwa dhuluma ya uchakachuzi
Rev.Kishoka,
Duh! Hivi Chadema walitoka nje ya Bunge kwa sababu hawamtambui JK au kazungumza vitu ambavyo vinakidhalilisha chama chao!. Ebu nijuze wakuu zangu nimetoka kapa maanake hata huyo Ahamadinajad hutinga UN na hukaribishwa, only akiongea utumbo ndio watu hutoka nje.
Ni ujumbe gani Chadema wameutuma kwa wananchi?
Rev. Nadhani wazi kabisa chachu ya maendeleo imepamba moto nchini Tanzania.
Nimefuraishwa na swala zima la kususia ufunguzi wa bunge, sasa next move ni kwa Chadema kuandaa mfumo wa kujibu prime time speech za raisi kila anapomaliza kuzitoa, hasa zile speech za mwisho wa mwezi.Dawa ni kukaba full court na sio kwenye upande wenu.
Kilio cha tume mpya ya uchaguzi ambayo itachaguliwa kwa Bunge, na kwakutumia vigezo ambavyo vitawabana CCM wasiweke watu wao.