Ukisikia Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Jua Limempata! Kauli za Lipumba tumeshazizoea wakati wa kampeni 2010 alisema Dr Slaa ni sisimizi hawezi kufananishwa nae yeye ni bora zaidi Lakini Box la kura lilimuumbua, sasa analia alidhani anawatu Kusini M4C imemaliza kazi kusini na kumwacha mtupu ni lazima atukane ameishiwa wanachama na hoja pia