CHADEMA ni selfish, UKAWA kuweni macho

CHADEMA ni selfish, UKAWA kuweni macho

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA

- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani

- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B

CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.

NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
 
Mbatia umesahau kuitwa ccm b member,maalim seif umesahau kuitwa ccm b kwa kuunda serikali ya kitaifa din fool urself to trust chagadema
 
Mbona kitete kimewaingia!!!?
Sasa km Chadema ni wabinafsi si ndio itakuwa nafuu kwenu maccm!!?
 
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA

- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani

- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B

CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.

NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.

wewe inakuuma nini.????
una baba yako cuf au nccr?????
 
navishauri vyama viwili vya nccr na cuf juu ya ubinafsi wa chadema

- kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani

- kumbukeni matusi ya kuambiwa ccm b

chadema ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya chadema ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.

Nb: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na chadema badala ya ukawa kama tulivyoelezwa hapo kabla.

acha upumbavu wewe umetumwa?ya zamani yalishafutwa kwa sasa tunaijenga nchi kwa pamoja
 
navishauri vyama viwili vya nccr na cuf juu ya ubinafsi wa chadema

- kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani

- kumbukeni matusi ya kuambiwa ccm b

chadema ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya chadema ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.

Nb: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na chadema badala ya ukawa kama tulivyoelezwa hapo kabla.

ndo umetumwa kuwajibia waume zako etiee
 
Tulia wewe binti usije kata shanga. Mapema yote hii tayari mmeshaanza mapovu!!.? muda ukifika si wote mtakuwa na opereshen za moyo?
 
chagadema baada kufirisika umaarufu sasa wamejificha kwenye kichaka cha waliberali.
 
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA

- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani

- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B

CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.

NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.

nothing ...................................................................................................................
 
Dr Slaa ni rais ajaye.
Waziri mkuu Mbowe
Waziri wa fedha Lipumba
Waziri wa elimu Mbatia etc
Rais Zanzibar,Maalim Seif
 
Back
Top Bottom