assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
CHADEMA ukiiandalia kwa jicho la kawaida huwezi kuhisi ama kuona ninachotaka kukupatia ila kwa ukiingalia kifalsafa utagundua.
Ili chama kisimame imara mfano kule marekani au wingereza sio national level bali at grassroot level. sasa chadema kunako grassroot hawana viongozi mpaka ngazi ya mtaa. distribution mpaka ngazi ya mtaa haizidi 30% nchi nzima. obama alishinda marekani kwakuwa alijikita kwenye grassroot na sio national level.
chadema kilipata baadhi ya wabunge either kwa kuchukua makapi ya ccm au walionyimwa nafasi ccm baada ya kushinda kura za maoni. chama kinachoweza chukua dola lazima kiandae wagombea wake yenyewe.
mfano mzuri ni serikali za mitaa viongozi wengi wa chadema waliwekewa pingamizi wengine wakiwa hata kusoma hawajui,wengine viongozi wao wameshindwa hata kujua ni muhuri upi utatumika binafsi au wa chama ikaiishia kuwekewa pingamizi nakuanza kulalamika. sheria husema kutojua sheria haimaanishi huna kosa.
chadema inajengwa na uongozi uliopo taifani kwa kiasi kikubwa lakini ukienda chini hakuna kitu.
mfano mzuri mimi nipo hapa DAR MTAA WETU hakuna ofisi ya chadema wala hata kiongozi wake wakati ccm kwa mfano wametapakaa kila kona.
chadema inaundwa na jeshi la watu kama mbowe,padri slaa nk lakini not instituonalised.
Ili chama kisimame imara mfano kule marekani au wingereza sio national level bali at grassroot level. sasa chadema kunako grassroot hawana viongozi mpaka ngazi ya mtaa. distribution mpaka ngazi ya mtaa haizidi 30% nchi nzima. obama alishinda marekani kwakuwa alijikita kwenye grassroot na sio national level.
chadema kilipata baadhi ya wabunge either kwa kuchukua makapi ya ccm au walionyimwa nafasi ccm baada ya kushinda kura za maoni. chama kinachoweza chukua dola lazima kiandae wagombea wake yenyewe.
mfano mzuri ni serikali za mitaa viongozi wengi wa chadema waliwekewa pingamizi wengine wakiwa hata kusoma hawajui,wengine viongozi wao wameshindwa hata kujua ni muhuri upi utatumika binafsi au wa chama ikaiishia kuwekewa pingamizi nakuanza kulalamika. sheria husema kutojua sheria haimaanishi huna kosa.
chadema inajengwa na uongozi uliopo taifani kwa kiasi kikubwa lakini ukienda chini hakuna kitu.
mfano mzuri mimi nipo hapa DAR MTAA WETU hakuna ofisi ya chadema wala hata kiongozi wake wakati ccm kwa mfano wametapakaa kila kona.
chadema inaundwa na jeshi la watu kama mbowe,padri slaa nk lakini not instituonalised.