Daudi Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 327
- 204
CHADEMA is a political academy:
Imewapika wanasiasa wakaiva, CCM wakawachukua.
Tunashuhudia matunda ya kazi ya CHADEMA, imefikia sasa CCM badala ya kuandaa wanasiasa wake wanasubiri CHADEMA wawapike waive, halafu wao wanavuna.
Is a good strategy kwa CCM, no need of much investment in academy
Sasa wale wa CCM mliodhani hizo nafasi za uteuzi zingewahusu nendeni mkafunzwe siasa CHADEMA, mkipikika mtachukuliwa tu na CCM mbona😀
Imewapika wanasiasa wakaiva, CCM wakawachukua.
Tunashuhudia matunda ya kazi ya CHADEMA, imefikia sasa CCM badala ya kuandaa wanasiasa wake wanasubiri CHADEMA wawapike waive, halafu wao wanavuna.
Is a good strategy kwa CCM, no need of much investment in academy
Sasa wale wa CCM mliodhani hizo nafasi za uteuzi zingewahusu nendeni mkafunzwe siasa CHADEMA, mkipikika mtachukuliwa tu na CCM mbona😀