Chadema ni chama dhaifu

Chadema ni chama dhaifu

​naenda kuchunga mbuzi naona wana faida kwangu kuliko wewe ****[QUOTE=Mwiba;4193054]We wacha waondoe ,mbona tumeshazoea ,Nyie CDM mnaona kama mmeiteka JF lakini nionavyo naona mmetekwa tena mmepandishwa mkenge ![/QUOTE]
 
rais kikwete na bunge la wagonga meza ndio dhaifu
Ni bora hao wanaogonga meza kuliko wahuni ,udhaifu wenu mmeshindwa hata kujua taratibu na ustaarabu wa bunge.Mnazungumza kama mupo sokoni ,mi nawashangaa sana ,na mkielekezwa mnakuwa wabishi ,utafikiri jamaa yupo gengeni anapatana bei ya muogo.
 
Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.

Kama wewe ulivyo dhaifu
 
​naenda kuchunga mbuzi naona wana faida kwangu kuliko wewe ****[QUOTE=Mwiba;4193054]We wacha waondoe ,mbona tumeshazoea ,Nyie CDM mnaona kama mmeiteka JF lakini nionavyo naona mmetekwa tena mmepandishwa mkenge !
[/QUOTE]

Yani hili la CDM kuiteka Jf unataka uanzishwe mjadala au!!! Ni ukweli usiopinga kuwa wachangiaji wengi humu ni wafuasi na wanachama wa CDM hilo halina mpinzani either unakubali au hukubali.
 
Chadema wacheni kujiunganisha na migomo ya madaktari na walimu ,udhaifu wenu wa kukubalika mnawaharibia na kuwachafulia wengine.

Madaktari na walimu na taasisi zingine msikubali CDM iwemo katika kudai mambo yenu ,waogopeni na kuwatenga kama wenye marazi ya ukoma.

hoja dhaifu kama ulivyodhaifu, unaweza kuthibitisha kauli yako??au unaropoka tu kama mwigulu ndugu yako!! Kila siku mnaanzisha wimbo mpya oooh! CDM chama cha kikabila, udini, ukanda, undugu sijui wameleta makomandoo, wanataka kuleta vita, leo tena mnaunganisha na migomo wa madaktari'' yatawashinda yote kwakuwa 'ni upepo tu unapita'.
 
hoja dhaifu kama ulivyodhaifu, unaweza kuthibitisha kauli yako??au unaropoka tu kama mwigulu ndugu yako!! Kila siku mnaanzisha wimbo mpya oooh! CDM chama cha kikabila, udini, ukanda, undugu sijui wameleta makomandoo, wanataka kuleta vita, leo tena mnaunganisha na migomo wa madaktari'' yatawashinda yote kwakuwa 'ni upepo tu unapita'.

Nithibitishe kwani tupo bungeni hapa au unataka muongozo,ni kama ufuatavyo:-
Chadema ni waoga ,Chadema wamepoteza dira na Chadema wamechanganyikiwa.
Chadema udhaifu wao wanashindwa kutafuta mbinu za kuidai Tanganyika kwenye mikutano ya Hadhara ,muelekeo wa Chadema haupo kama awali hawajulikani wanafuata siasa ya mrengo gani na Chadema wameshindwa kujitofautisha wanajiingiza kwenye masuala ya migomo direct jambo ambalo halikubaliki.
 
Kumbe Mbowe alirudisha shangingi kwa kuwa lilikuwa linatumiwa na Hamad Rashid, yeye alitaka jipya. Akaone atumie mwanya kulirudisha kisiasa, lilivyotoka jipya tu akawahi mbiombio. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.

Ndio kawaida ya ccm. Mnajitekenya wenyewe alafu mnaanza kucheka cheka wenyewe. Mtasema CHADEMA ni chama dhaifu kuliko vyote eti kwa sababu hawarubuniki kama CUF, NCCR na TLP? Nadhani CHADEMA kinawakosesha usingizi ndio maana hamuishi kutapatapa kila kukicha.
 
JK ni Dhaifu, Viongozi wa CCM ni wapuuzi wasubiri 2015 waone hasira za watoto wanaosoma shule za kata, Watoto wa madaktari nao wana hasira, Watoto wa walimu nao wana hasira, Watoto wa wakulima ndio wana hasira kupitiliza, Wamachinga wamepania vibaya mno wanatamani 2015 iwe leo. Ili wadhihirishe UDHAIFU wa Chama cha Magamba
 
Chadema wacheni udhaifu kama mna ushahidi wa kutaka kuuliwa kwa nini hamuelekei mahakamani au tangazeni hadharani kama hamna imani na mahakama ,hao mnaowatilia shaka basi wafikisheni kwenye vyombo vya sheria ,udhaifu wenu msikusanye vyombo vya habari na kupakazia wasio kuwa na bahati.
 
kwani ccm kuna mbunge si wote walinunua kura kupitia usalama wa taifa mnahaha kwa nini si mlisema ni upepo utapita mbona mmerudi na hoja ya liwalo na liwe na mnaanza kutuwinda kila kona si ni chama cha wanaharakati ngoma inogile mtalia sana mwaka huu bunge likianza tunaaza kamata kanda ya ziwa people's power:israel:UOTE=Mwiba;4192895]Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.[/QUOTE]
 
Kumbe Mbowe alirudisha shangingi kwa kuwa lilikuwa linatumiwa na Hamad Rashid, yeye alitaka jipya. Akaone atumie mwanya kulirudisha kisiasa, lilivyotoka jipya tu akawahi mbiombio. Kwi kwi kwi kwi teh teh teh.
Hana shida ya magari huyo weye!! pochi lake binafsi linatosha kukulisha wewe kwa miaka ya vitukuu vyako duniani pambaf!!
 
Wewe JF sio mali ya Chadema usiwapangie watu vitu vya kujadili kama thread imekushinda kaa pembeni waachie members wengine wachangie.

ritzzzzzzzz!!!!!!!!!!!! ritz..............!!!!!!!!!!!!!! mnakula nchi tu kwa kuhudhuria jf kila siku na kupeleka umbea kuwa nn kimeandikwa humu juu ya serikali.
mnasahau mnaumiza wengi kwa unyama wenu juu ya raia.
JUST TO REMIND U , HAKUNA UTAWALA DHALIMU ULIOSITIRIKA KAMWE JUU YA NCHI JUST FOR YOUR OWN TIME CHECK HISTOR YA WATAWALA WOTE DHALIMU MWISHO WAO N MBAYA SANA. nA tz ndo tumefika hapo
 
Hivi thread bila kuiandika CHADEMA haiwezi kusomwa hapa jf. Kweli nimeamini maisha bila CDM hayawezi kuwepo. Hivi mioyo yenu haidundi bila CHADEMA?


Hahaha mimi nimezaliwa bila hao CDM unao waamini wewe'tatizo lenu CDM mnajidanganya sana kwa hii JF kuwapa kiburi na mnajiona kama mko tz nzima kumbe member hapa JF hawafiki hata elfu 80 na nchi hii kubwa baba'CDM dhaifu;
 
Bottom line Lakini awajamfikia Mwenyekiti wenu!
 
Katika vyama vyote vya upinzani basi Chama dhaifu ni CHADEMA,CDM haiwezi na imeshindwa kufuatilia hoja zake yakiwemo yale ya upasuaji baluti pale Bungeni ,inashindwa na kuishia katikati ,yaani hawajafikia mwisho wanatafuta jingine na kuliacha lile la mwanzo ,walikuja na utitiri wa majina ya ufisadi hadi leo hatasijui yameishia wapi ?Mwisho wa siku wanapitisha bajeti kiulaiini ,Naona wamechanganyikiwa.
nahisi unawashwa mbona usemi mambo ya epa?
 
Back
Top Bottom