Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Ni mwezi wa nane Mwenyekiti ndugu Mbowe anautangazia Umma kuhusu operation UKUTA, akisema una lengo la kuondoa Udikteta nchini, mara kwa mara anaendelea kusema kuwa hakuna choice isipokuwa kufanya maandamano makubwa tarehe mosi mwezi September. umma unapokea tangazo lake, vijiweni, kwenye vibaraza vya kahawa kwenye mikisanyiko nchi nzima ni mazungumzo juu ya Maandamano ya UKUTA.
Nchi inajawa na tension, kundi kubwa la watu linaunga mkono, na kundi kubwa linapinga, Nguvu kubwa za kipolisi zinatumika kuwatia watu hofu.
Tahamaki, Mwenyekiti katika Kombati zake anagwaya, anarudi nyuma, anasurrender!. Na ili aonekane bado yumo anawahadaa Wafuasi wake kuwa UKUTA sasa ni mwezi October!, lakini wajuzi walishaona kwamba hapa Kamanda mkuu keshamwaga Manyanga.
Ni kweli October inafika Mwenyekiti badala ya kwenda mtaani kupinga Udikteta, akaenda Uwanja wa Taifa kuangalia mpira wa Simba na Yanga!. Huyu ndo kamanda katika Kombati, Kamanda Muoga!.
Miezi Miwili baadae, Kamanda huyu ndani ya Kombati, aliyeitangazia dunia kuwa Tanzania sasa ina Udikteta na inabidi tuuondoe, anakwenda kufanya uchaguzi wa Kidikteta na kimagumashi kuwahi kutokea ndani ya chama chake mwenyewe!, anakwenda kumkata kijana Sosopi na kumuweka Msigwa bila ya kufuata msingi wowote wa kidemokrasia. This is cowardice, Kamanda wa Kombati hana tena moral authority ya kupigania demokrasia!
Ni nini Athari za Uoga huu wa Kuacha kusimamia Operation UKUTA?
1. Watawala sasa wanajua, UKAWA siyo credible threat tena kwao, Wanajua wakitumia nguvu kidogo za kuwasumbuasumbua watanywea kama kuku walioshikwa mdondo!
2. Watawala wanajua, Hakuna Uongozi ndani ya Chadema wenye guts wala moral authority ya kuwaambia stop!
3. Consequence za Kusitisha Operation UKUTA sasa zimefanya watu wakamatwe hovyo kwa makosa madogomadogo na kuwekwa ndani bila hata kupewa dhamana, Kwa sababu wenye kufanya hivyo wanajua Mtawafanya nini?.
Sasa hivi Chadema imekosa dira, haijui isimamie nini na ifanye nini. Ni dhahiri kuna hofu ya kushughulikiwa Kwa Biashara za Makamanda ndani ya Kombati kutiwa kashkash, kusumbuliwa submbuliwa kiuchumi, Lakini kama ni makamanda kweli, then that is the price to pay! La sivyo wakae pembeni, waje watu wanaoweza kusukuma gurudumu hili la kudai mabadiriko ya kweli lishike usukani!.
Nasema Chadema haipaswi kuwa chama cha Waoga chenye kuendeshwa na Jemedari Muoga!
Tunataka Upinzani wa kweli utakaosimama kidete bila kutetereka katika awamu hii ya tano na tunautaka NOW, kamanda ndugu Mbowe kama umeshindwa kuprovide leadership katika hili kaa pembeni mjomba!
Nchi inajawa na tension, kundi kubwa la watu linaunga mkono, na kundi kubwa linapinga, Nguvu kubwa za kipolisi zinatumika kuwatia watu hofu.
Tahamaki, Mwenyekiti katika Kombati zake anagwaya, anarudi nyuma, anasurrender!. Na ili aonekane bado yumo anawahadaa Wafuasi wake kuwa UKUTA sasa ni mwezi October!, lakini wajuzi walishaona kwamba hapa Kamanda mkuu keshamwaga Manyanga.
Ni kweli October inafika Mwenyekiti badala ya kwenda mtaani kupinga Udikteta, akaenda Uwanja wa Taifa kuangalia mpira wa Simba na Yanga!. Huyu ndo kamanda katika Kombati, Kamanda Muoga!.
Miezi Miwili baadae, Kamanda huyu ndani ya Kombati, aliyeitangazia dunia kuwa Tanzania sasa ina Udikteta na inabidi tuuondoe, anakwenda kufanya uchaguzi wa Kidikteta na kimagumashi kuwahi kutokea ndani ya chama chake mwenyewe!, anakwenda kumkata kijana Sosopi na kumuweka Msigwa bila ya kufuata msingi wowote wa kidemokrasia. This is cowardice, Kamanda wa Kombati hana tena moral authority ya kupigania demokrasia!
Ni nini Athari za Uoga huu wa Kuacha kusimamia Operation UKUTA?
1. Watawala sasa wanajua, UKAWA siyo credible threat tena kwao, Wanajua wakitumia nguvu kidogo za kuwasumbuasumbua watanywea kama kuku walioshikwa mdondo!
2. Watawala wanajua, Hakuna Uongozi ndani ya Chadema wenye guts wala moral authority ya kuwaambia stop!
3. Consequence za Kusitisha Operation UKUTA sasa zimefanya watu wakamatwe hovyo kwa makosa madogomadogo na kuwekwa ndani bila hata kupewa dhamana, Kwa sababu wenye kufanya hivyo wanajua Mtawafanya nini?.
Sasa hivi Chadema imekosa dira, haijui isimamie nini na ifanye nini. Ni dhahiri kuna hofu ya kushughulikiwa Kwa Biashara za Makamanda ndani ya Kombati kutiwa kashkash, kusumbuliwa submbuliwa kiuchumi, Lakini kama ni makamanda kweli, then that is the price to pay! La sivyo wakae pembeni, waje watu wanaoweza kusukuma gurudumu hili la kudai mabadiriko ya kweli lishike usukani!.
Nasema Chadema haipaswi kuwa chama cha Waoga chenye kuendeshwa na Jemedari Muoga!
Tunataka Upinzani wa kweli utakaosimama kidete bila kutetereka katika awamu hii ya tano na tunautaka NOW, kamanda ndugu Mbowe kama umeshindwa kuprovide leadership katika hili kaa pembeni mjomba!