jinga usiye na aibu nani akuzuieJambo la msingi ni kwamba huwezi kunizuia kumkosoa na kuwaonyesha wananchi na viongozi wenzake ubaya wa Kujenga Chama cha Kidikteta na kuuenzi udikteta kamili wa Mbowe na genge lake. Ikiwezekana wamkimbie wote ili abaki peke yake kama madikteta wenzake kwenye vikundi vingine( TLP ,UDP,CUF na vikundi vingine vya upatu wa kujipatia ruzuku)