Habari nilizozinyaka mitaani sina detail nyingi sana ni kwamba CCM ilitumia 3biln, CHADEMA 400Mln na CUF 150Mln.
CCM wamepata kura 26,484, CHADEMA kura 23,286, CUF kura 2,104....
Kwa hesabu za shule ya msingi ni kuwa
CCM-3,000,000,000/26,484=113,275/=
CDM-400,000,000/23,286=17177/=
CUF-150,000,000/2,104=71,292/=
Hivyo basi
CCM imegharamikia kura moja kwa tsh 113,275/=
CDM imegharamikia kura moja kwa tsh 17,177/=
CUF imegharamikia kura moja kwa tsh 71,292/=
CDM ndiyo washindi Igunga.