Toka bunge limeanza tumeshaona jinsi ambavyo chadema wanapigwa vijembe na vyama vyote kuanzia ccm mpaka vyama vingine, hapo ndo unaona kabisa hao ndio wapinzani wa kweli ukiona wengine wanapigiwa makofi ujue hao sio wapinzani wa kweli.
nawakilisha.
Hili halina ubishi, ushadi ni jinsi vyama vyote kushirikiana na CCM kuishambulia CDM, ila wajue kuwa wamejimaliza kwani wananchi ndiyo mahakimu katika hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.