CHADEMA nakupenda toka moyoni

CHADEMA nakupenda toka moyoni

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Nimeona nitoe hisia zangu hata kwa kilugha nikimaanisha Chadema nakupenda toka moyoni.
Niko tayari kufa kuliko kukisaliti chadema na kila mwenye kukisaliti basi Mungu hayupo upande wake.
Chadema ni:
..mkombozi wa mtanzania
...mtetezi wa wanyonge
...mwanzilishi wa demokrasia
...kiboko ya mafisadi na mafisidi
...kisiwa cha haki na amani
....mpenda maendeleo


Vijana wanaojitambua karibuni CHADEMA.
 
Naona gongo uliyopewa leo ni grade 1 imekuunguza mapafu mpaka akili zimekuruka.
 

Attachments

  • attachment-1-2.jpeg
    attachment-1-2.jpeg
    12.1 KB · Views: 509
cdm ndilo tumaini pekee la wanyonge lililobaki baada ya Azimio la Arusha kuuawa kibudu na haya manyang'au ya lumumba! cdm nakupenda!!!!
 
Isingekuwa chadema watanzania wote tungekuwa tumeshsauzwa
 
chagadema ni saccos ya mtei kwa ajili ya kutetea maslahi ya wachaga
 
cdm ndilo tumaini pekee la wanyonge lililobaki baada ya Azimio la Arusha kuuawa kibudu na haya manyang'au ya lumumba! cdm nakupenda!!!!

Nilikupenda sanah ewe chadm lakn kwa sasa samahan sinah chama tena
 
tena wenyewe wakishika nchi ndo wataifilisi vya kutosha maana kwa dhiki waliyonayo lazima wavutie kwao 1st ndo watukumbuke baba ko we penda ila nothing u'll get
 
Back
Top Bottom