Habari Wana jamvi la jf.
Moja kwa moja niende kwenye bandiko.nimetafakari Sana kuhusu vyama pinzani hapa nchini jinsi vinavyoendesha siasa zao na progress za vyama hivi miaka nenda ,miaka rudi bado patupu,hata wao wenyewe ukiwauliza hawatoi jibu ambalo ni touchable,watakuja na simple excuse, binafsi naona haya ndio yanayowaghalimu chadem na wengine,
1. hawana mipango endelevu- si chadema ,au wengine ,mipango yao huwa Niya msimu tu,hasa pindi za chaguzi ,ukiwasikiliza kipndi Cha harakati za uchaguzi huwa wanaonekana wanamipango kabambe ,lkn uchaguz ukiisha tu Basi wameshapoteana utaona kila siku wanakuja na Jambo geni,tofauti kabisa na sura waliyokuwa nayo kpnd Cha harakati za uchaguzi, ni Kama mtu aliekuwa usingzn alipoamka akaja na agenda aliyoiota usngzn!!
,niwashauli chadema na wengine muwe na long-term plans ,hata siku mbowe hayupo atakayekuja basi aanzie pale alipoishia mbowe, sio Mbowe asipokuwepo basi mnaanza upya tena
,mko serious kuchukua dola kweli!!?,mfano mdogo tu hv kweli kale kajumba Cha chumba sebule ndo Makao makuu ya chadema kweli,u guys mko serious kweli na plans zenu!!??,atleast basi muwe mnajifunza basi hata kutoka kwa wapinzani wenu ccm.
2. kwao viongoz ni Yule anayejua kupiga maneno ,na sio mtu creative!!, Hawa ndugu zangu hili ni tatzo kubwa ,jaribu kufuatilia viongoz wengi vyama pinzani ni mafundi wa kupiga maneno ,Ila creativity zero,mtu creative hujenga chama na kukifanya kiwe na nguvu na ushawishi kwa watu,kwa jinsi anavyopanga plan na namna ya kuwapanga watu wake,chadema walibahatika kuwa na mtu wa namna hii ,Dr.slaa na chacha wangwe Kama sijasahau,Dr.slaa alikuwa ni creative na good planner ,sote tuliona impact yake kpnd hicho.baada ya hawa watu kutoka chama kikapoteana.
3. Kwao chama pinzani , ideology ni kupinga anything kwa opposition wao!!,hili ni tatizo kubwa kwa vyama vyetu vya upinzani ,na hii inasababishwa na kuwa na viongoz ambao sio creative bali talkative,sijui ni kiingereza ndo shida
,huenda walielewa opposition parties =chama Cha kupinga/kutokukubaliana.kimsingi foundation ya chama pinzani ni ku challenge,na ku challenge ni kuja na wazo lenye mvuto zaidi ya mpinzani wako.kama ccm wamekuja na agenda ya bwawa la mwal.nyerere usipinge kwa kuleta hoja za mazingira n.k huku ukijua ,nchi ina uhitaji mkubwa wa umeme ,njoo na wazo jingine lenye mvuto ambalo halitoi uhalisia wa adha ya umeme ipo, Sasa mfano ukija na kisingizio Cha mazingira nn plan forward ambayo itatoa adha hiyo ya umeme na ambayo itakuwa affordable!!? chadema na wengine mjifunze ku appreciate & ku challenge!!!
4. Umoja wa kudumu -hapo juu nimesema mjifunze ku appreciate,hii itawafanya mje na wazo lenye kum challenge mpinzani wenu,chadema na wengine kwanza mkubali wote kwa moyo mmoja kwamba ccm ni chama kikubwa,kikongwe ,chenye nguvu kubwa,ushawishi wa kila style(whatever the style they use),na mikakati ya kudumu,kukubaliana na hayo kutawapa wazo la nn mfanye kuwa beat ccm!! the only option ni kuungana ,labda niwakumbushe vyama pinzani,hiyo ccm mnayoiona leo ,imeungana na vyama kadhaa miaka hiyo enz za mwal.mfano , Kama sijasahau TAA ,na ASP ,ikawa TANU,n.k hivyo ccm tu imepitia huko kwenye kutafuta nguvu kwa kuunganisha vivyama vidogo vidogo kadhaa hatimae ikawa ccm hii mnayoiona leo. ndio maana nikawaambia mjifunze ku appreciate & ku challenge!!!
kui beat ccm, sio Kazi rahisi,Kama mnavyochukulia, learn to appreciate & challenge!!