Haya ndiyo mambo. Tumekuwa tukisikia tu kuwa baadhi ya viongozi wa Upinzani pamoja na wanasheria watamfungulia mashitaka fisadi BWM kama hatafunguliwa mashitaka na serikali. Imekuwa ni lonolongo tu. Hayo mashitaka yamefikia wapi??? Fisadiz wanantakiwa kusogezwa lupango wanakostahili.
Hivi chadema hawana mpya zaidi ya neno ufisadi ufisadi ? Huyo zitto hivi mwaka ukiisha atawaeleza nini waliomchagua kama mbunge wao na slaa je ? Chadema angalieni alama za nyakati watu tunataka mabadiliko mambo ya ufisadi ni kazi ya serikali na vyombo vyombo vyake vya sheria sisi tunataka mambo mapya
SHY aka Yona Maro
1.Mtaalam wa plagiarism
2. Mtaalam vi-blog
3. Mtaalam wa kuboa
4. Mtaalam wa spinning
Nachelea kuandika 'kibaraka wa CCM'maana nashindwa kuelewa katumwa na nani kati ya wezi/wabadhirifu wa nchi yetu na wale wachovu wa kazi wanaojiita UT Vyovyote ilivyo, nia yake kwa Jambo forums sio nzuri, Mwendapole, 2008
Tatizo sio kutajwa...tatizo ni kuchukuliwa hatua!
Nimeona mahali huyu Yona anajitangaza kwamba ana Masters ya IT kwenye University moja USA (nimesahau jina). Nina uhakika hii sio kweli. Huyu jamaa hana elimu kabisa kwa jinsi anavyojidhihirisha hapa.
Wamekwisha fungua mashtaka kwenye mahakama ya wananchi na sisi wenye uchungu tayari tunasikiliza kesi. Tunazidi kuwaomba wenye ushahidi wazidi kujitokeza na kwa hakika tutawahukumu. Wengine wao wameanza kutumikia kifungo cha wananchi hapa hapa - kwa kuogopa hata kujitokeza kuwasalimia wanannchi. Kwa hivi sasa kesi za nyani hatuwezi kuzifikisha kwenye mahakama za ngedere.
Wasi wasi wangu ni kuwa wananchi sisi ni rahisi sana kurubuniwa
Nimeona mahali huyu Yona anajitangaza kwamba ana Masters ya IT kwenye University moja USA (nimesahau jina). Nina uhakika hii sio kweli. Huyu jamaa hana elimu kabisa kwa jinsi anavyojidhihirisha hapa.
Sera zikisha unaibua sera za mabomu huwa zinalipa muulizeni mzee wa Kiraracha, Mzindakaya et al....