Chadema na maandamano

Chadema na maandamano

Joined
Apr 26, 2012
Posts
15
Reaction score
9
Ndugu nisaidieni kwa unadani zaidi bila ushabiki bila hila. Tufanye nini ili Serikali iwe sikivu kwa kuwaondoa mawaziri wasiojali wananchi? Je maandamo ya nguvu ya uma peke yake itatosha? au itafutwe mbinu mbadala wote tuende kuishi Ikuli watulishe walishindwa kutulisha Serikali yote itajiuzulu.
 
Back
Top Bottom