MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
Ndugu nisaidieni kwa unadani zaidi bila ushabiki bila hila. Tufanye nini ili Serikali iwe sikivu kwa kuwaondoa mawaziri wasiojali wananchi? Je maandamo ya nguvu ya uma peke yake itatosha? au itafutwe mbinu mbadala wote tuende kuishi Ikuli watulishe walishindwa kutulisha Serikali yote itajiuzulu.