MSILEWE CHENGA ZA CCM. Habari hapa ni katiba bora sio ya akina sita. Tunataka katiba ambayo mtu kabla kugombea AJIHOJI na asikimbilie.
Tunataka katiba itakaweka uongozi wowote uwe WITO na sio mtaji wa kutajilisha ukoo.
Tunataka katiba inayopunguza mapato ya viongoz ili wabaki wale wenye wito.