victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Uje uchunguzi wa nje kuthibisha
Mtakuwa tayari kumtoa dreva wa lissu huko mafichoni?😀
Uje uchunguzi wa nje kuthibisha
nimehisi kutetemeka na kukamatwa kwa mngangania uenyekiti kwa ukweli huu.Lissu hajawahi na hatakuwa kuwa tishio kwa serikali ya JPM. Ila ni tishio kwa wenye chama chao kutoka Kaskazini. Lissu ni tishio kwa Mwenyekiti Chadema Taifa. Lissu ni tishio kubwa kwa yule mzee aliepewa hati miliki ya kugombea Urais 2015 na 2020. Ndiyo walitaka kutumia kivuli cha serikali ya Magufuli kumuua Lissu ili waseme serikali imemuua. Kwa hili mmekwama. Mngetaka wachunguzi wa nje basi mngeoomba pia wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe.