Tengero
Member
- Feb 9, 2017
- 75
- 54
TUKIO LA LISSU LILIPANGWA NA CHADEMA KWA AJILI YA KUJA NA AGENDA YA KUTISHIWA MAISHA
Joshua Nassari – Nafuatiliwa na watu wasiojulikana , maisha yangu yapo shakani
Godbless Lema – Gari Langu limefunguliwa nati za matairi yote manne wakati linatembea, Maisha yangu yapo shakani.
John Heche – Natishiwa maisha yangu na watu wasiojulikana, maisha yangu yapo hatarini
Ester Bulaya – Nafuatiliwa na watu waliovalia kininja, Maisha yangu yapo hatarini
CHADEMA ACHENI KUCHONGA KINYAGO ILI KUJITISHA WENYEWE.
[HASHTAG]#NCHI[/HASHTAG] IPO SALAMA – MAJALIWA KASSIM MAJALIWA.
Joshua Nassari – Nafuatiliwa na watu wasiojulikana , maisha yangu yapo shakani
Godbless Lema – Gari Langu limefunguliwa nati za matairi yote manne wakati linatembea, Maisha yangu yapo shakani.
John Heche – Natishiwa maisha yangu na watu wasiojulikana, maisha yangu yapo hatarini
Ester Bulaya – Nafuatiliwa na watu waliovalia kininja, Maisha yangu yapo hatarini
CHADEMA ACHENI KUCHONGA KINYAGO ILI KUJITISHA WENYEWE.
[HASHTAG]#NCHI[/HASHTAG] IPO SALAMA – MAJALIWA KASSIM MAJALIWA.