CHADEMA na hatua tatu mbele hatua kumi nyuma

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
36,141
29,670
Wasalaamu kwa GTs na Makapuku kama mnavyotaka kuitwa.

CHADEMA ILIPIGA HATUA TATU MBELE NA SASA IMERUDI HATUA KUMI NYUMA....Ni masikitiko kwa wanasiasa wote iwe ni ndani ya CCM au nje ya CCM.

CHADEMA iliogopwa na Mwalimu Nyerere pindi ilivyoanzishwa kiasi cha kuonekana kuwa kinaweza kuwa chama chenye sera bora ndani ya upinzani(hapa simaanishi ubora wa kushika dola hapana bali ni ubora wa kuwa wapinzani wenye kuleta hoja mbadala za kimaendeleo na kiustawi katika taifa)

Hii ilikuwa ni hatua ya kwanza mbele.

CHADEMA ilikuwa ni Chama chenye uvumilivu na kinachoamini kwenye kujipanga zaidi.kwa miaka kadhaa kilikuwa kinajipanga kwa kufanya siasa za utulivu na kilianza kuwekeza katika kupata wanachama wasomi watakaokipeleka chama mbele na kukiimarisha.hili lilifanyika kimya kimya bila vurugu za maandamano vyuoni ...kina John Mnyika,Zitto kabwe na wengine ndivyo walivyoweza kuibuliwa kwa utaratibu huu.

CHADEMA ilijitahidi kuwekeza kwa kundi la wasomi zaidi ukilinganisha na NCCR iliyokuwa imejikita kwa vibaka,mama ntilie,wamachinga na wahuni wa mijini.Pia hapa tunaiona CHADEMA ikiibuka na agenda muhimu kama Chama yaani "VITA DHIDI YA UFISADI" Hapa ndipo vichwa vitano bungeni akiwemo Zitto,Mnyika,Slaa,Wangwe waliposumbua serikali bila kususa bungeni au kupayuka mambo wasiyokuwa na ushahidi bungeni.

Hii ilikuwa ni hatua ya pili mbele!!

Uwekezaji mkubwa wa CHADEMA kwenye siasa za mitaani na vijijini ulikuja baada ya uchaguzi wa 2010.kwani somo walilolisoma la kwamba kura hazipo kwenye propaganda za mitandaoni ai magazetini bali zipo kwenye level ya nyumba kumi kumi.

Hapa ndipo unaweza kuuona weledi wa katibu mkuu aliyepumzika siasa Dr Slaa alivyoanza kuwa tishio la dhahiri dhidi ya mfumo wa CCM.Dr Slaa alianza kuijenga CHADEMA kama vile anaeneza kanisa katoliki duniani...alianza kujenga matawi mitaani na vijijini

yaani lilipo tawi la CCM basi pembeni lipo la CHADEMA...kiukweli hii ndio iliyokuwa hatari kubwa kwa CCM kiasi Cha Kinana kuitwa na kuja kuandaa operesheni ya kisiasa iliyotukuka.

Hii Ilikuwa ni hatua ya tatu Mbele...!.###############$#

CHADEMA NA KIZUNGUZUNGU /KIHINDI HINDI

Ama kweli ngoma ya kitoto haikeshi..
CHADEMA ikaanza kurudi hatua zaidi ya tatu nyuma !!
CHADEMA ikaacha kuenenda na katiba yake au sera zake wakati inaaanzishwa.
CHADEMA ikaacha kujadili hoja badala yake ikawa ni mtaalamu wa kutengeneza vihoja bungeni na mitaani ili tu isikike.

CHADEMA ikakosa uvumilivu wa kisiasa na kujipanga .
CHADEMA ikaanza kupeleka siasa vyuoni badala ya kuchukua wasomi kutoka vyuoni ili waje kukijenga Chama.
CHADEMA ikaachana na wasomi na wafanyakazi badala yake ikaanza kuwekeza kwa masela na wanywa viroba wanaoweza kununuliwa na kufagia barabara.

CHADEMA IKAPOTEZA AJENDA YA MSINGI WA CHAMA yaani vita dhidi ya ufisadi kwa kumpokea waliyemtuhumu kuwa ni fisadi na kuanza kumtetea kwa nguvu zote.
CHADEMA ikafuta list of shame kwenye website yao...
CHADEMA ikaanza kumpinga hata Rais anayepambana na ufisadi.
CHADEMA ikaanza kuwatetea wafanyabiashara wasiolipa kodi.

CHADEMA ikaanza kuwaunga mkono wafanyabiashara wa sukari wanaohujumu uchumi
CHADEMA ikaanza kuweweseka kwa kurukia kila hoja.
CHADEMA ikaanza kuingiza bungeni wabunge wa viti maalum kwa kufuata uswahiba .

CHADEMA ikkakosa hoja na badala yake ikaanza kudususa kikekike...yaani siku wakimshutikia Tulia Ackson yuko ndani ya ndege na ndege ipo angani basi wataomba kushuka.
CHADEMA ikawa Chama cha kambale yaani kila mtu ana sharubu...haijulikani katibu mkuu ni Lowassa au Mwalimu au Mbatia au Silinde kila mmoja anatoa maelekezo tu.

Hebu niishie hapa na niwakaribishe muendelee kutaja hatua kumi zaidi walizopiga CHADEMA kuelekea reverse.

TUWASAIDIE WAPINZANI WASIFE KWA AFYA YA TAIFA
 
Kudhibitisha kuwa hoja yako ni ya kijinga haiwezi kuwa hai zaidi ya Massa 12.
Hizo propaganda za kizamani watu walisha achana nazo
 
Kudhibitisha kuwa hoja yako ni ya kijinga haiwezi kuwa hai zaidi ya Massa 12.
Hizo propaganda za kizamani watu walisha achana nazo
Ungesoma na kutulia kwanza halafu uanze kupangua hoja una haraka ya nini?
Hoja za JF zinakuwa hai kwa miaka na miaka au niseme huwa zinafufuka kwa hiyo hofu ya kutokuwa hai kwa hoja yangu haipo!!
 
Unpokuwa na elimu ya mwendo kas kama ya je....ska. ...lazima uje na andiko kama hili.....hongera....nenda kapate buku2
Tujadili hoja...nipinge kwa kupangua hoja na sio vihoja...hivi vihoja ndizo hatua kumi za rivasi nilizozisema ...yaani hata watetezi wa CHADEMA mitandaoni ndio style hii ya kivituko vituko aka wazee wa special diploma
 
Wasalaamu kwa GTs na Makapuku kama mnavyotaka kuitwa.

CHADEMA ILIPIGA HATUA TATU MBELE NA SASA IMERUDI HATUA KUMI NYUMA....Ni masikitiko kwa wanasiasa wote iwe ni ndani ya CCM au nje ya CCM.

Chadema iliogopwa na Mwalimu Nyerere pindi ilivyoanzishwa kiasi cha kuonekana kuwa kinaweza kuwa chama chenye sera bora ndani ya upinzani(hapa simaanishi ubora wa kushika dola hapana bali ni ubora wa kuwa wapinzani wenye kuleta hoja mbadala za kimaendeleo na kiustawi katika taifa)

Hii ilikuwa ni hatua ya kwanza mbele.

Chadema ilikuwa ni Chama chenye uvumilivu na kinachoamini kwenye kujipanga zaidi.kwa miaka kadhaa kilikuwa kinajipanga kwa kufanya siasa za utulivu na kilianza kuwekeza katika kupata wanachama wasomi watakaokipeleka chama mbele na kukiimarisha.hili lilifanyika kimya kimya bila vurugu za maandamano vyuoni ...kina John Mnyika,Zitto kabwe na wengine ndivyo walivyoweza kuibuliwa kwa utaratibu huu.
Chadema ilijitahidi kuwekeza kwa kundi la wasomi zaidi ukilinganisha na NCCR iliyokuwa imejikita kwa vibaka,mama ntilie,wamachinga na wahuni wa mijini.Pia hapa tunaiona Chadema ikiibuka na agenda muhimu kama Chama yaani "VITA DHIDI YA UFISADI" Hapa ndipo vichwa vitano bungeni akiwemo Zitto,Mnyika,Slaa,Wangwe waliposumbua serikali bila kususa bungeni au kupayuka mambo wasiyokuwa na ushahidi bungeni.

HII ilikuwa ni hatua ya pili mbele!!

Uwekezaji mkubwa wa Chadema kwenye siasa za mitaani na vijijini ulikuja baada ya uchaguzi wa 2010.kwani somo walilolisoma la kwamba kura hazipo kwenye propaganda za mitandaoni ai magazetini bali zipo kwenye level ya nyumba kumi kumi.
Hapa ndipo unaweza kuuona weledi wa katibu mkuu aliyepumzika siasa Dr Slaa alivyoanza kuwa tishio la dhahiri dhidi ya mfumo wa CCM.Dr Slaa alianza kuijenga Chadema kama vile anaeneza kanisa katoliki duniani...alianza kujenga matawi mitaani na vijijini

yaani lilipo tawi la CCM basi pembeni lipo la Chadema...kiukweli hii ndio iliyokuwa hatari kubwa kwa CCM kiasi Cha Kinana kuitwa na kuja kuandaa operesheni ya kisiasa iliyotukuka.

HII Ilikuwa ni hatua ya tatu Mbele...!.###############$#

CHADEMA NA KIZUNGUZUNGU /KIHINDI HINDI

Ama kweli ngoma ya kitoto haikeshi..
Chadema ikaanza kurudi hatua zaidi ya tatu nyuma !!

CHADEMA ikaacha kuenenda na katiba yake au sera zake wakati inaaanzishwa.

Chadema ikaacha kujadili hoja badala yake ikawa ni mtaalamu wa kutengeneza vihoja bungeni na mitaani ili tu isikike.

Chadema ikakosa uvumilivu wa kisiasa na kujipanga .

Chadema ikaanza kupeleka siasa vyuoni badala ya kuchukua wasomi kutoka vyuoni ili waje kukijenga Chama.

Chadema ikaachana na wasomi na wafanyakazi badala yake ikaanza kuwekeza kwa masela na wanywa viroba wanaoweza kununuliwa na kufagia barabara.

Chadema IKAPOTEZA AJENDA YA MSINGI WA CHAMA yaani vita dhidi ya ufisadi kwa kumpokea waliyemtuhumu kuwa ni fisadi na kuanza kumtetea kwa nguvu zote.

Chadema ikafuta list of shame kwenye website yao...

Chadema ikaanza kumpinga hata Rais anayepambana na ufisadi.

Chadema ikaanza kuwatetea wafanyabiashara wasiolipa kodi.

Chadema ikaanza kuwaunga mkono wafanyabiashara wa sukari wanaohujumu uchumi

Chadema ikaanza kuweweseka kwa kurukia kila hoja.

Chadema ikaanza kuingiza bungeni wabunge wa viti maalum kwa kufuata uswahiba .

Chadema ikkakosa hoja na badala yake ikaanza kudususa kikekike...yaani siku wakimshutikia Tulia Ackson yuko ndani ya ndege na ndege ipo angani basi wataomba kushuka.

Chadema ikawa Chama cha kambale yaani kila mtu ana sharubu...haijulikani katibu mkuu ni lowassa au mwalimu au mbatia au silinde kila mmoja anatoa maelekezo tu.


Hebu niishie hapa na niwakaribishe muendelee kutaja hatua kumi zaidi walizopiga Chadema kuelekea reverse.


TUWASAIDIE WAPINZANI WASIFE KWA AFYA YA TAIFA
Utaendelea kuishi kwenye maisha ya kuigopa CHADEMA hadi lini?Cdm ipo na itaendelea kuwepo na ipo siku utaishangilia na kuisifu CHADEMA maana CCM haitakuwepo tena
 
Wasalaamu kwa GTs na Makapuku kama mnavyotaka kuitwa.

CHADEMA ILIPIGA HATUA TATU MBELE NA SASA IMERUDI HATUA KUMI NYUMA....Ni masikitiko kwa wanasiasa wote iwe ni ndani ya CCM au nje ya CCM.

Chadema iliogopwa na Mwalimu Nyerere pindi ilivyoanzishwa kiasi cha kuonekana kuwa kinaweza kuwa chama chenye sera bora ndani ya upinzani(hapa simaanishi ubora wa kushika dola hapana bali ni ubora wa kuwa wapinzani wenye kuleta hoja mbadala za kimaendeleo na kiustawi katika taifa)

Hii ilikuwa ni hatua ya kwanza mbele.

Chadema ilikuwa ni Chama chenye uvumilivu na kinachoamini kwenye kujipanga zaidi.kwa miaka kadhaa kilikuwa kinajipanga kwa kufanya siasa za utulivu na kilianza kuwekeza katika kupata wanachama wasomi watakaokipeleka chama mbele na kukiimarisha.hili lilifanyika kimya kimya bila vurugu za maandamano vyuoni ...kina John Mnyika,Zitto kabwe na wengine ndivyo walivyoweza kuibuliwa kwa utaratibu huu.
Chadema ilijitahidi kuwekeza kwa kundi la wasomi zaidi ukilinganisha na NCCR iliyokuwa imejikita kwa vibaka,mama ntilie,wamachinga na wahuni wa mijini.Pia hapa tunaiona Chadema ikiibuka na agenda muhimu kama Chama yaani "VITA DHIDI YA UFISADI" Hapa ndipo vichwa vitano bungeni akiwemo Zitto,Mnyika,Slaa,Wangwe waliposumbua serikali bila kususa bungeni au kupayuka mambo wasiyokuwa na ushahidi bungeni.

HII ilikuwa ni hatua ya pili mbele!!

Uwekezaji mkubwa wa Chadema kwenye siasa za mitaani na vijijini ulikuja baada ya uchaguzi wa 2010.kwani somo walilolisoma la kwamba kura hazipo kwenye propaganda za mitandaoni ai magazetini bali zipo kwenye level ya nyumba kumi kumi.
Hapa ndipo unaweza kuuona weledi wa katibu mkuu aliyepumzika siasa Dr Slaa alivyoanza kuwa tishio la dhahiri dhidi ya mfumo wa CCM.Dr Slaa alianza kuijenga Chadema kama vile anaeneza kanisa katoliki duniani...alianza kujenga matawi mitaani na vijijini

yaani lilipo tawi la CCM basi pembeni lipo la Chadema...kiukweli hii ndio iliyokuwa hatari kubwa kwa CCM kiasi Cha Kinana kuitwa na kuja kuandaa operesheni ya kisiasa iliyotukuka.
NGOJEA CHADEMA WAZAWA WASIOPENDA KUKOSOLEWA
HII Ilikuwa ni hatua ya tatu Mbele...!.###############$#

CHADEMA NA KIZUNGUZUNGU /KIHINDI HINDI

Ama kweli ngoma ya kitoto haikeshi..
Chadema ikaanza kurudi hatua zaidi ya tatu nyuma !!

CHADEMA ikaacha kuenenda na katiba yake au sera zake wakati inaaanzishwa.

Chadema ikaacha kujadili hoja badala yake ikawa ni mtaalamu wa kutengeneza vihoja bungeni na mitaani ili tu isikike.

Chadema ikakosa uvumilivu wa kisiasa na kujipanga .

Chadema ikaanza kupeleka siasa vyuoni badala ya kuchukua wasomi kutoka vyuoni ili waje kukijenga Chama.

Chadema ikaachana na wasomi na wafanyakazi badala yake ikaanza kuwekeza kwa masela na wanywa viroba wanaoweza kununuliwa na kufagia barabara.

Chadema IKAPOTEZA AJENDA YA MSINGI WA CHAMA yaani vita dhidi ya ufisadi kwa kumpokea waliyemtuhumu kuwa ni fisadi na kuanza kumtetea kwa nguvu zote.

Chadema ikafuta list of shame kwenye website yao...

Chadema ikaanza kumpinga hata Rais anayepambana na ufisadi.

Chadema ikaanza kuwatetea wafanyabiashara wasiolipa kodi.

Chadema ikaanza kuwaunga mkono wafanyabiashara wa sukari wanaohujumu uchumi

Chadema ikaanza kuweweseka kwa kurukia kila hoja.

Chadema ikaanza kuingiza bungeni wabunge wa viti maalum kwa kufuata uswahiba .

Chadema ikkakosa hoja na badala yake ikaanza kudususa kikekike...yaani siku wakimshutikia Tulia Ackson yuko ndani ya ndege na ndege ipo angani basi wataomba kushuka.

Chadema ikawa Chama cha kambale yaani kila mtu ana sharubu...haijulikani katibu mkuu ni lowassa au mwalimu au mbatia au silinde kila mmoja anatoa maelekezo tu.


Hebu niishie hapa na niwakaribishe muendelee kutaja hatua kumi zaidi walizopiga Chadema kuelekea reverse.


TUWASAIDIE WAPINZANI WASIFE KWA AFYA YA TAIFA
 
Wasalaamu kwa GTs na Makapuku kama mnavyotaka kuitwa.

CHADEMA ILIPIGA HATUA TATU MBELE NA SASA IMERUDI HATUA KUMI NYUMA....Ni masikitiko kwa wanasiasa wote iwe ni ndani ya CCM au nje ya CCM.

Chadema iliogopwa na Mwalimu Nyerere pindi ilivyoanzishwa kiasi cha kuonekana kuwa kinaweza kuwa chama chenye sera bora ndani ya upinzani(hapa simaanishi ubora wa kushika dola hapana bali ni ubora wa kuwa wapinzani wenye kuleta hoja mbadala za kimaendeleo na kiustawi katika taifa)

Hii ilikuwa ni hatua ya kwanza mbele.

Chadema ilikuwa ni Chama chenye uvumilivu na kinachoamini kwenye kujipanga zaidi.kwa miaka kadhaa kilikuwa kinajipanga kwa kufanya siasa za utulivu na kilianza kuwekeza katika kupata wanachama wasomi watakaokipeleka chama mbele na kukiimarisha.hili lilifanyika kimya kimya bila vurugu za maandamano vyuoni ...kina John Mnyika,Zitto kabwe na wengine ndivyo walivyoweza kuibuliwa kwa utaratibu huu.
Chadema ilijitahidi kuwekeza kwa kundi la wasomi zaidi ukilinganisha na NCCR iliyokuwa imejikita kwa vibaka,mama ntilie,wamachinga na wahuni wa mijini.Pia hapa tunaiona Chadema ikiibuka na agenda muhimu kama Chama yaani "VITA DHIDI YA UFISADI" Hapa ndipo vichwa vitano bungeni akiwemo Zitto,Mnyika,Slaa,Wangwe waliposumbua serikali bila kususa bungeni au kupayuka mambo wasiyokuwa na ushahidi bungeni.

HII ilikuwa ni hatua ya pili mbele!!

Uwekezaji mkubwa wa Chadema kwenye siasa za mitaani na vijijini ulikuja baada ya uchaguzi wa 2010.kwani somo walilolisoma la kwamba kura hazipo kwenye propaganda za mitandaoni ai magazetini bali zipo kwenye level ya nyumba kumi kumi.
Hapa ndipo unaweza kuuona weledi wa katibu mkuu aliyepumzika siasa Dr Slaa alivyoanza kuwa tishio la dhahiri dhidi ya mfumo wa CCM.Dr Slaa alianza kuijenga Chadema kama vile anaeneza kanisa katoliki duniani...alianza kujenga matawi mitaani na vijijini

yaani lilipo tawi la CCM basi pembeni lipo la Chadema...kiukweli hii ndio iliyokuwa hatari kubwa kwa CCM kiasi Cha Kinana kuitwa na kuja kuandaa operesheni ya kisiasa iliyotukuka.

HII Ilikuwa ni hatua ya tatu Mbele...!.###############$#

CHADEMA NA KIZUNGUZUNGU /KIHINDI HINDI

Ama kweli ngoma ya kitoto haikeshi..
Chadema ikaanza kurudi hatua zaidi ya tatu nyuma !!

CHADEMA ikaacha kuenenda na katiba yake au sera zake wakati inaaanzishwa.

Chadema ikaacha kujadili hoja badala yake ikawa ni mtaalamu wa kutengeneza vihoja bungeni na mitaani ili tu isikike.

Chadema ikakosa uvumilivu wa kisiasa na kujipanga .

Chadema ikaanza kupeleka siasa vyuoni badala ya kuchukua wasomi kutoka vyuoni ili waje kukijenga Chama.

Chadema ikaachana na wasomi na wafanyakazi badala yake ikaanza kuwekeza kwa masela na wanywa viroba wanaoweza kununuliwa na kufagia barabara.

Chadema IKAPOTEZA AJENDA YA MSINGI WA CHAMA yaani vita dhidi ya ufisadi kwa kumpokea waliyemtuhumu kuwa ni fisadi na kuanza kumtetea kwa nguvu zote.

Chadema ikafuta list of shame kwenye website yao...

Chadema ikaanza kumpinga hata Rais anayepambana na ufisadi.

Chadema ikaanza kuwatetea wafanyabiashara wasiolipa kodi.

Chadema ikaanza kuwaunga mkono wafanyabiashara wa sukari wanaohujumu uchumi

Chadema ikaanza kuweweseka kwa kurukia kila hoja.

Chadema ikaanza kuingiza bungeni wabunge wa viti maalum kwa kufuata uswahiba .

Chadema ikkakosa hoja na badala yake ikaanza kudususa kikekike...yaani siku wakimshutikia Tulia Ackson yuko ndani ya ndege na ndege ipo angani basi wataomba kushuka.

Chadema ikawa Chama cha kambale yaani kila mtu ana sharubu...haijulikani katibu mkuu ni lowassa au mwalimu au mbatia au silinde kila mmoja anatoa maelekezo tu.


Hebu niishie hapa na niwakaribishe muendelee kutaja hatua kumi zaidi walizopiga Chadema kuelekea reverse.


TUWASAIDIE WAPINZANI WASIFE KWA AFYA YA TAIFA
Ulichokiandika kina akisi akili yako na hiyo ID yako
 
Tujadili hoja...nipinge kwa kupangua hoja na sio vihoja...hivi vihoja ndizo hatua kumi za rivasi nilizozisema ...yaani hata watetezi wa Chadema mitandaoni ndio style hii ya kivituko vituko aka wazee wa special diploma
Hata hivyo alivyokujibu ni kwa hoja, maana dawa ya moto ni moto
 
Utaendelea kuishi kwenye maisha ya kuigopa cdm hadi lini?Cdm ipo na itaendelea kuwepo na ipo siku utaishangilia na kuisifu cdm maana ccm haitakuwepo tena
Hata wewe kuna siku utaisifia na kuishabikia CCM !
Kama nilivyosema hapo juu kuhusu kuusaidia upinzani usife...kumbuka moja ya jukumu la kisiasa la CCM na serikali yake ni kuuendeleza upinzani.

Haya niliyoleta ni maoni yangu kama mchangiaji wa ruzuku...sasa sioni umuhimu wa kupeleka ruzuku kwenye vyama ambavyo vinarudi nyuma kisiasa.
 
Huyo ni ulimwengu...ila ukiwaambia hawa lumumba hivyo.....wanalia.. hawataki kusikia......
Pingeni hoja nilizozileta moja baada ya nyingine othrwise nitawaweka kwenye kundi lilelile linaloirudisha nyuma chadema...yaani 'for you I will'
 
Pingeni hoja nilizozileta moja baada ya nyingine othrwise nitawaweka kwenye kundi lilelile linaloirudisha nyuma chadema...yaani 'for you I will'
Yaani wewe hizo sio hoja ....ni fkra za wewe na wanalumumba wenzako mllio na elimu ya mwendo kas
 
Wasalaamu kwa GTs na Makapuku kama mnavyotaka kuitwa.

CHADEMA ILIPIGA HATUA TATU MBELE NA SASA IMERUDI HATUA KUMI NYUMA....Ni masikitiko kwa wanasiasa wote iwe ni ndani ya CCM au nje ya CCM.

Chadema iliogopwa na Mwalimu Nyerere pindi ilivyoanzishwa kiasi cha kuonekana kuwa kinaweza kuwa chama chenye sera bora ndani ya upinzani(hapa simaanishi ubora wa kushika dola hapana bali ni ubora wa kuwa wapinzani wenye kuleta hoja mbadala za kimaendeleo na kiustawi katika taifa)

Hii ilikuwa ni hatua ya kwanza mbele.

Chadema ilikuwa ni Chama chenye uvumilivu na kinachoamini kwenye kujipanga zaidi.kwa miaka kadhaa kilikuwa kinajipanga kwa kufanya siasa za utulivu na kilianza kuwekeza katika kupata wanachama wasomi watakaokipeleka chama mbele na kukiimarisha.hili lilifanyika kimya kimya bila vurugu za maandamano vyuoni ...kina John Mnyika,Zitto kabwe na wengine ndivyo walivyoweza kuibuliwa kwa utaratibu huu.
Chadema ilijitahidi kuwekeza kwa kundi la wasomi zaidi ukilinganisha na NCCR iliyokuwa imejikita kwa vibaka,mama ntilie,wamachinga na wahuni wa mijini.Pia hapa tunaiona Chadema ikiibuka na agenda muhimu kama Chama yaani "VITA DHIDI YA UFISADI" Hapa ndipo vichwa vitano bungeni akiwemo Zitto,Mnyika,Slaa,Wangwe waliposumbua serikali bila kususa bungeni au kupayuka mambo wasiyokuwa na ushahidi bungeni.

HII ilikuwa ni hatua ya pili mbele!!

Uwekezaji mkubwa wa Chadema kwenye siasa za mitaani na vijijini ulikuja baada ya uchaguzi wa 2010.kwani somo walilolisoma la kwamba kura hazipo kwenye propaganda za mitandaoni ai magazetini bali zipo kwenye level ya nyumba kumi kumi.
Hapa ndipo unaweza kuuona weledi wa katibu mkuu aliyepumzika siasa Dr Slaa alivyoanza kuwa tishio la dhahiri dhidi ya mfumo wa CCM.Dr Slaa alianza kuijenga Chadema kama vile anaeneza kanisa katoliki duniani...alianza kujenga matawi mitaani na vijijini

yaani lilipo tawi la CCM basi pembeni lipo la Chadema...kiukweli hii ndio iliyokuwa hatari kubwa kwa CCM kiasi Cha Kinana kuitwa na kuja kuandaa operesheni ya kisiasa iliyotukuka.

HII Ilikuwa ni hatua ya tatu Mbele...!.###############$#

CHADEMA NA KIZUNGUZUNGU /KIHINDI HINDI

Ama kweli ngoma ya kitoto haikeshi..
Chadema ikaanza kurudi hatua zaidi ya tatu nyuma !!

CHADEMA ikaacha kuenenda na katiba yake au sera zake wakati inaaanzishwa.

Chadema ikaacha kujadili hoja badala yake ikawa ni mtaalamu wa kutengeneza vihoja bungeni na mitaani ili tu isikike.

Chadema ikakosa uvumilivu wa kisiasa na kujipanga .

Chadema ikaanza kupeleka siasa vyuoni badala ya kuchukua wasomi kutoka vyuoni ili waje kukijenga Chama.

Chadema ikaachana na wasomi na wafanyakazi badala yake ikaanza kuwekeza kwa masela na wanywa viroba wanaoweza kununuliwa na kufagia barabara.

Chadema IKAPOTEZA AJENDA YA MSINGI WA CHAMA yaani vita dhidi ya ufisadi kwa kumpokea waliyemtuhumu kuwa ni fisadi na kuanza kumtetea kwa nguvu zote.

Chadema ikafuta list of shame kwenye website yao...

Chadema ikaanza kumpinga hata Rais anayepambana na ufisadi.

Chadema ikaanza kuwatetea wafanyabiashara wasiolipa kodi.

Chadema ikaanza kuwaunga mkono wafanyabiashara wa sukari wanaohujumu uchumi

Chadema ikaanza kuweweseka kwa kurukia kila hoja.

Chadema ikaanza kuingiza bungeni wabunge wa viti maalum kwa kufuata uswahiba .

Chadema ikkakosa hoja na badala yake ikaanza kudususa kikekike...yaani siku wakimshutikia Tulia Ackson yuko ndani ya ndege na ndege ipo angani basi wataomba kushuka.

Chadema ikawa Chama cha kambale yaani kila mtu ana sharubu...haijulikani katibu mkuu ni lowassa au mwalimu au mbatia au silinde kila mmoja anatoa maelekezo tu.


Hebu niishie hapa na niwakaribishe muendelee kutaja hatua kumi zaidi walizopiga Chadema kuelekea reverse.


TUWASAIDIE WAPINZANI WASIFE KWA AFYA YA TAIFA
Hii hadithi yako inatufundisha nini?
 
Hata wewe kuna siku utaisifia na kuishabikia CCM !
Kama nilivyosema hapo juu kuhusu kuusaidia upinzani usife...kumbuka moja ya jukumu la kisiasa la CCM na serikali yake ni kuuendeleza upinzani.

Haya niliyoleta ni maoni yangu kama mchangiaji wa ruzuku...sasa sioni umuhimu wa kupeleka ruzuku kwenye vyama ambavyo vinarudi nyuma kisiasa.
Naona tatizo lako ni KUJUMLISHA NA KUTOA
 
Hata wewe kuna siku utaisifia na kuishabikia CCM !
Kama nilivyosema hapo juu kuhusu kuusaidia upinzani usife...kumbuka moja ya jukumu la kisiasa la CCM na serikali yake ni kuuendeleza upinzani.

Haya niliyoleta ni maoni yangu kama mchangiaji wa ruzuku...sasa sioni umuhimu wa kupeleka ruzuku kwenye vyama ambavyo vinarudi nyuma kisiasa.
Hesabu kwako ni shida sana, hivi kati ya cdm na ccm nani anazidi kurudi nyuma kila kukicha?tangu chadema imeanzishwa inazidi kuongeza idadi ya wabunge kila uchaguzi na ccm inapoteza kila wabunge kila uchaguzi, hapo nani anarudi nyuma?
 
Back
Top Bottom