KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
- Thread starter
- #121
Mbona hili la ndoa linaongelewa sana mbona kuna halmashauri kama ya Kigoma ambayo CDM ilifunga ndoa na CCM. Au CDM kwa sasa wanamtamani bwana wao wa zamani? hivyo wana wivu?
strong point...halmashauri kigoma.thanx kwa kumbukumbu,ngoja niihifadhi mana jamaa kila siku ndoa ndoa kumbe wanajisahau.