CHADEMA na CCM wamefanikiwa kuiua CUF?

Namalenga

Senior Member
Dec 7, 2017
146
72
Mgogoro wa Chama cha wanainchi CUF hatuwezi kusema hauna adhari za moja kwa moja kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu na demokrasia kwa umajui wake.

Ni ukweli ulio dhahiri kwamba CCM na CHADEMA wanaupalilia mgogoro huu uendelee kuwepo ama kusiwe na maelewano ndani ya CUF kila mmoja kwa wakati wake na maslahi yake.

Wakati CHADEMA wakifurahia mgogoro huu kwa kuzidi kujiimarisha kwa wanainchi kwa kupata pa kusemea kwa majority na kuwaaminisha kuwa CUF ni Chama kisichoaminika na ambacho hakina dhamira ya dhati kwa wanainchi.
Kwa upande wa pili Chama Cha Mapinduzi wakifurahia kutoshiriki kwa Mwalimu seif kwenye siasa za Zanzibar na kuporomoka kwa umaarufu wa CUF pwani ya TANZANIA bara.

Ukiangalia trend ya kampeni za uchaguzi wa marudio siha na kinondoni unaweza ukapata ya kile ambacho mimi najiuliza kwamba CCM na CHADEMA wamefanikiwa kuizika CUF? Na ni imani yangu CHADEMA na CCM wanafurahi na wangetamani hata 2020 hali iwe hivi hivi.

Cha ajabu hata vyombo vya habari vimeingia kwenye mtego huu wa hivi vyama viwili yaani ccm na chadema kwakutorusha na kutowapa coverage hata dakika tano kwenye vyombo vyao. CUF imeshazikwa?
 
ccm na yule prof uchwara ndio wametumwa kuiuwa ukawa na wameshindwa kama serikal yao sasa ilivyoshindwa kuwaletea watanzania maendeleo



Swissme
 
Mgogoro wa Chama cha wanainchi Cuf hatuwezi kusema hauna adhari za moja kwa moja kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu na demokrasia kwa umajui wake.
Ni ukweli ulio dhahiri kwamba ccm na Chadema wanaupalilia mgogoro huu uendelee kuwepo ama kusiwe na maelewano ndani ya Cuf kila mmoja kwa wakati wake na maslahi yake. Wakati Chadema wakifurahia mgogoro huu kwa kuzidi kujiimarisha kwa wanainchi kwa kupata pa kusemea kwa majority na kuwaaminisha kuwa cuf ni Chama kisichoaminika na ambacho hakina dhamira ya dhati kwa wanainchi.
Kwa upande wa pili Chama cha mapinduzi wakifurahia kutoshiriki kwa Mwalimu seif kwenye siasa za Zanzibar na kuporomoka kwa umaarufu wa cuf pwani ya TANZANIA bara.
Ukiangalia trend ya kampeni za uchaguzi wa marudio siha na kinondoni unaweza ukapata ya kile ambacho mimi najiuliza kwamba CCM na Chadema wamefanikiwa kuizika Cuf? Na ni imani yangu Chadema na CCM wanafurahi na wangetamani hata 2020 hali iwe hivi hivi
Cha ajabu hata vyombo vya habari vimeingia kwenye mtego huu wa hivi vyama viwili yaani ccm na chadema kwakutorusha na kutowapa coverage hata dakika tano kwenye vyombo vyao. Cuf imeshazikwa?
Usifunike ukweli kwamba ni mkakati wa CCM kuiua CUF, kwa kumtumia Lipumba. CHADEMA iliimarisha CUF kwa kushirikiana nayo, pale Lipumba alipojitenga kama alivyofanya Slaa. katika uchaguzi wa 2015, chini ya mwavuli wa UKAWA, CUF ilipata wabunge wengi sana haijawahi kutokea, huku bara. Pia ilipata wingi wa madiwani na kuweza kuongoza baadhi ya Halmashauri. Hayo ni mafanikio makubwa sana, bila kumshirikisha Lipumba. Lipumba katika muda wake wote hakuwahi kuleta mafanikio kama hayo.

Baada ya uchaguzi, CHADEMA na wenzake katika mwavuli wa UKAWA walitoka nje ya bunge pale Rais Magufuli alipoingia bungeni kuhutubia kwa mara ya kwanza. mikakati yao ilikuwa ya pamoja na matunda yalionekana.

CHADEMA iliunga mkono CUF kule Zanzibar ambapo CUF ilinyakua ushindi, na kuporwa na CCM. CUF sasa hivi inayotambulika na serikali ya Tanzania ni CUF-Lipumba. huwezi kuishirikisha CHADEMA katika njama hizi ovu za kuimaliza CUF. Ili iweje hasa? maana upinzani wa kweli Tanzania wanatambua kwamba kushirikiana ndio kiama cha CCM. CCM inatumia rasilimali za taifa kuhonga na kununua wapinzani, kuleta migogoro katika CUF na vyama vingine, na hata hili suala la chaguzi za marudio zenye gharama kubwa, ni njama za CCM kujijenga zaidi kwa njia za panya, badala ya kutafuta uhalali kwa wananchi. JPM alisema uchaguzi umekwisha tufanye kazi. lakini NO! uchaguzi haujaisha na ndio maana hata waliochaguliwa kihalali bado wanajiuzulu eti ili wachaguliwe "katika chama sahihi" kwa gharama za walipa kodi. UJINGA NA UPUUZI WA AINA GANI HUU?

Kama mmevimbiwa na mipango yenu ya kishetani, mbakie huko huko, msianze kusingizia wengine eti "mkakati wa CCM na CHADEMA kuua CUF!" ukisikia uwongo wa karne ndio huo. ni propaganda ambazo hazina mashiko. propaganga nzuri angalau ina chembe ya ukweli halafu unapindishwa. hii wala haina ukweli hata kidogo.
 
Mgogoro wa Chama cha wanainchi Cuf hatuwezi kusema hauna adhari za moja kwa moja kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu na demokrasia kwa umajui wake.
Ni ukweli ulio dhahiri kwamba ccm na Chadema wanaupalilia mgogoro huu uendelee kuwepo ama kusiwe na maelewano ndani ya Cuf kila mmoja kwa wakati wake na maslahi yake. Wakati Chadema wakifurahia mgogoro huu kwa kuzidi kujiimarisha kwa wanainchi kwa kupata pa kusemea kwa majority na kuwaaminisha kuwa cuf ni Chama kisichoaminika na ambacho hakina dhamira ya dhati kwa wanainchi.
Kwa upande wa pili Chama cha mapinduzi wakifurahia kutoshiriki kwa Mwalimu seif kwenye siasa za Zanzibar na kuporomoka kwa umaarufu wa cuf pwani ya TANZANIA bara.
Ukiangalia trend ya kampeni za uchaguzi wa marudio siha na kinondoni unaweza ukapata ya kile ambacho mimi najiuliza kwamba CCM na Chadema wamefanikiwa kuizika Cuf? Na ni imani yangu Chadema na CCM wanafurahi na wangetamani hata 2020 hali iwe hivi hivi
Cha ajabu hata vyombo vya habari vimeingia kwenye mtego huu wa hivi vyama viwili yaani ccm na chadema kwakutorusha na kutowapa coverage hata dakika tano kwenye vyombo vyao. Cuf imeshazikwa?
Tunataka report ya utekelezaji wa budget ya taifa hadi kufikia sasa
 
Mtu akiksea tu namna ya kuandika naona kila anachokiandika ni porojo.
Sasa neno adhari linamaana gani?
 
Anae iua CUF anajulikana ni CCM hakuna haja ya kumung'unya maneno. Lichama hili linaogopa 2020 CUF kule Zanzibar itakuwaje. Singeli ya Jecha ndo hawawezi kuirudia hivyo wanataka waiue CUF isiwepo kabisa. Bahati nzuri CUF Zanzibar chini ya Maalim iko imara-wasi wasi ni nguvu ya CUF huku bara kwani Lipumba na DOLA wanaiyumbisha vya kutosha labda kesi zile ziishe na Lipumba aangukie pua vinginevyo CUF itabidi wajipange upya wakishirikiana na CDM kukabili hili lichama letu. Kwa bara tunaona hii nunua nunua kama mkakati wa kuidhofisha CDM-lakini ni wazi CDM na CUF Maalim kwa kushirikiana wanaweza wakatupa upinzani imara. BILA UPINZANI IMARA TUTAKUWA NCHI YA KUFIKIRIKA KAMA AFIKIRIAVYO TRUMP KUHUSU AFRIKA. BILA CHECKS AND BALANCES KURA YANGU HAINA THAMANI.
 
Mgogoro wa Chama cha wanainchi Cuf hatuwezi kusema hauna adhari za moja kwa moja kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu na demokrasia kwa umajui wake.
Ni ukweli ulio dhahiri kwamba ccm na Chadema wanaupalilia mgogoro huu uendelee kuwepo ama kusiwe na maelewano ndani ya Cuf kila mmoja kwa wakati wake na maslahi yake. Wakati Chadema wakifurahia mgogoro huu kwa kuzidi kujiimarisha kwa wanainchi kwa kupata pa kusemea kwa majority na kuwaaminisha kuwa cuf ni Chama kisichoaminika na ambacho hakina dhamira ya dhati kwa wanainchi.
Kwa upande wa pili Chama cha mapinduzi wakifurahia kutoshiriki kwa Mwalimu seif kwenye siasa za Zanzibar na kuporomoka kwa umaarufu wa cuf pwani ya TANZANIA bara.
Ukiangalia trend ya kampeni za uchaguzi wa marudio siha na kinondoni unaweza ukapata ya kile ambacho mimi najiuliza kwamba CCM na Chadema wamefanikiwa kuizika Cuf? Na ni imani yangu Chadema na CCM wanafurahi na wangetamani hata 2020 hali iwe hivi hivi
Cha ajabu hata vyombo vya habari vimeingia kwenye mtego huu wa hivi vyama viwili yaani ccm na chadema kwakutorusha na kutowapa coverage hata dakika tano kwenye vyombo vyao. Cuf imeshazikwa?
unaandika upuuzi, hivi we hujui anayekazana kuviua vyama vya upibzani, unarembaremba nini? hujiamini?? kama we ni "me" unaweza tongoza demu kweli?

Sema ccm imeiua cuf na inakaka kuua upinzani
 
unaandika upuuzi, hivi we hujui anayekazana kuviua vyama vya upibzani, unarembaremba nini? hujiamini?? kama we ni "me" unaweza tongoza demu kweli?

Sema ccm imeiua cuf na inakaka kuua upinzani
Ni kweli kaka huu ni upuuzi wangu tu! Nawe upuuze, ila duu eti sijui kama najua kutongoza.
 
Sema ccm imefanikiwa kuiwa CUF Chadema imetokea wapi hapo?? Je, Nidio walimsaidia yule Propesa kuingia ofisini?? Jamani, hakuna chongo kengeza. Semeni tu ukweli wala hatutachukia kwani twajua huo ndio ukweli. Hata hao waliojiingiza kwenye kugombea ni waongo wakubwa. Wamewekwa na ccm kupunguza tu kura za ukawa. Tatizo ni kuwa, watu weshalijua hilo
 
Back
Top Bottom