Waislam wataruhusiwa kuingia kweli
Prof Safari na Salum Mwalimu ambao kimsingi ni watoa mada nao ni wakristu Siku hizi? hizi Akili zenu za kubemendwa zilizohamia makalioni ni shidaaa kweli kweli
Waislam wataruhusiwa kuingia kweli
Tutachangia vipi semina kama tukitaka? Wekeni hata namba ya Tigo pesa.
Wekeni namba ya MPESA tuchangie gharama za semina.
Hivi makene mlishamvua cheo au ndo muendelezo uleule kila mmoja anasema tu
nadhani hili ndio swali bovu kuliko yote yaliyoulizwa hapa kwa mwaka huu .Hivi makene mlishamvua cheo au ndo muendelezo uleule kila mmoja anasema tu
fomu ya yule mgombea mwenye mvi umechangia ?Wekeni namba ya MPESA tuchangie gharama za semina.
Wewe ndio kilaza kwa sababu hata huwezi kutofautisha tangazo la chama kutoka kwenye kanda na tangazo linalohusu chama kitaifa. Sitokujibu tena kwani umeprove huna hoja wala uelewa wa chochote zaidi ya ushabiki usiotumia akili.kumbe chama kimejaa vilaza, makene yule na kichwa kile afanye kazi makao makuu!?
Kamanda Erythrocyte umempa kitu inauma huyo Msalani hatarudi tenafomu ya yule mgombea mwenye mvi umechangia ?
Shughuli njema tunawatakieni, mungu akiwa upande wetu, upande wa haki nani atasimama upande wa pili??? ZZK au EL?
Amen Kamanda?Mungu awajalie afya njema na semina iwe na mafanikio nabkuleta tija kwa chama na Taifa kwa ujumla......Mungu ibariki chadema na watu wake.
..................Mungu ibariki Tanzania
ufipa hamlali mnamuwaza ZZK
Kilele cha ujinga kipo juuukiangalia vizuri asilimia tisini utakuta ni wachungaji.
Sipati picha sala ya ufunguzi wa kikao itakuwaje......
kila lakher