CHADEMA: Mwenyekiti wa chama pinzani hawezi kumpa kijiti mtu mwingine?

sambeke

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
713
652
Nina kaswali ka kizushi hapa, hivi Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani. Tz Hawezi kumpa kijiti mwingine kama wafanyavyo CCM au sijui katiba inasemaje mwenye uelewa anijuze, maana tangu naijua CHADEMA mwenyekiti wake ni yule yule.
 
Nina kaswali ka kizushi hapa, Hivi mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani. Tz Hawezi kumpa kijiti mwingine kama wafanyavyo ccm au sijui katiba inasemaje mwenye uelewa anijuze, maana tangu naijua Chadema mwenyekiti wake ni yule yule
Unataka kumrithi??
 
T
Nina kaswali ka kizushi hapa, Hivi mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani. Tz Hawezi kumpa kijiti mwingine kama wafanyavyo ccm au sijui katiba inasemaje mwenye uelewa anijuze, maana tangu naijua Chadema mwenyekiti wake ni yule yule
Tatizo ni wengi wa viongozi wa upinzani ni njaa kali. Huyu Mwenyekiti anaona akimwachia mtu atakiuza chama. Wengi siyo waaminifu mifano unayo. Kuanzia kwa mzee mapesa, Cheyo, Marehemu Mtikila, Mrema, Lipumba nk. Huu ndiyo wasi wasi wake
 
Nina kaswali ka kizushi hapa, Hivi mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani. Tz Hawezi kumpa kijiti mwingine kama wafanyavyo ccm au sijui katiba inasemaje mwenye uelewa anijuze, maana tangu naijua Chadema mwenyekiti wake ni yule yule


Heeeee, wewe una matatizo, shauri yako, ngoja waje humu.....
 
Tanzania hatuna chama cha upinzani imara
Vyote ni wapiga deal
Mfano mzuri ona walipobadil gia angani

Mara Mia Tuendelee kuongozwa na ccm ya babu na bibi zetu
 
Labda ungafafanua zaidi, mbona chadema wanabadilishana kijiti, kwan mbowe ndo alianza akiwa mwenyekiti.?? Sema tatizo hawana muda maalumu wa kukaa kama mwenyekiti
 
Kumbe uongozi ni kurithishana sio demokrasia ifate mkobdo wake kwamba nafasi itangazwe ili wenye vigezo waombe,duuhhh kweli nyani haoni kundule.
 
Kwanza msaliti mkubwa wewe!!

Sifa yakuwa mwenyekiti

Kwanza utoke kulee juu

Pili usiwe unahoji mapato namatuzi ya chama

Mwisho usubiri mpaka aliopo Afe au aachoke mwenyewe
 
Nina kaswali ka kizushi hapa, hivi Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani. Tz Hawezi kumpa kijiti mwingine kama wafanyavyo CCM au sijui katiba inasemaje mwenye uelewa anijuze, maana tangu naijua CHADEMA mwenyekiti wake ni yule yule.
Kila chama kina katiba yake na taratibu zake kama chama kinaona bado anafaa kina haki ya kuendelea kumfanya mwenyekiti
 
Nina kaswali ka kizushi hapa, hivi Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani. Tz Hawezi kumpa kijiti mwingine kama wafanyavyo CCM au sijui katiba inasemaje mwenye uelewa anijuze, maana tangu naijua CHADEMA mwenyekiti wake ni yule yule.
Kwa nini unaliita swali lako ni la "kizushi"? Kama hata wewe mwenyewe huamini unachokiuliza utapata majibu ya maana kweli? Kujibu maswali yako nadhani ungetafuta katiba yao usome inasemaje kuhusu suala hilo.
 
Back
Top Bottom