Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Leo katika Mkutano wa CDM na wamachinga jijini Mwanza wakiongozwa na Kamanda Wenje na Heche.
Waziri Mkuu apewa 14 Days amuondoe Mkurugenzi otherwise People's Power itamchomoa kwa Nguvu.
Kuna Mwana Magamba mmoja alijitusu kuleta Fujo, akaishia Mikononi mwa Makamanda na kilichompata hatokisahau maishani mwake.
PEOPLEZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ
Waziri Mkuu apewa 14 Days amuondoe Mkurugenzi otherwise People's Power itamchomoa kwa Nguvu.
Kuna Mwana Magamba mmoja alijitusu kuleta Fujo, akaishia Mikononi mwa Makamanda na kilichompata hatokisahau maishani mwake.
PEOPLEZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ