Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
- Thread starter
- #21
Haujaona effects zake tu,kamanda mkuu mbowe alikamatwa na kuwekwa ndani na kupelekwa arusha hajitambui,awali chadema walimpa kova masaa 6 amwachie,kova alikomaa nae hadi arusha! duh chadema hawajifunzi kuchimba mkwala!
Hauoni Ma Bwana zako now wanacheza Ngoma ya CDM, kuanzi Mkwer.e hadi Msomali Jangili wa Meno ya tembo