CHADEMA Mwanza; Mbunge na Meya Hapatoshi!

CHADEMA Mwanza; Mbunge na Meya Hapatoshi!

Kwa akili hizi...kuna siku tutaona wanalaani SOGGY DOGGY anabaka demokrasia kwa kutaja baraza lake la mawaziri wasanii.....katika wimbo wake wa "Kiongozi wa wasanii"
 
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayekubali taifa hili la Tanzania lipate aibu kwenye jamii ya kimataifa kwa kuwaruhusu CHADEMA waingie madarakani.

Umeona Taarifa ya Human Rights? Au ngeli shida? Please naomba usome halafu useme hii ni aibu au sio? na kama sio aibu inakuwaje? hebu tuelimishe. Uzi huu hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ports-on-human-rights-practices-tanzania.html. Kumbuka juzi mwana JF mmoja alileta uzi kwa kuona matangazo yenye manyanyaso Huko ughaibuni wengi wakaishia kumponda. Leo tena hamadi ishu hii hapa.

Jamani bado tunaipenda Tanzania, Hakuna mtanzania mwenye akili na kutambua kuwa Baraza la mawaziri hutangazwa na Rais tena baada ya uchaguzi, leo wenye anawadhihaki watu wanaanza kupaa na kujaa vichwa. Watanzania hatupaswi kuwa hivyo.
 
Mafilili mbona hujatuwekea Chanzo cha habari hii. Pia inanipa picha ukimbiwa mtoto wa siku moja anaongea utakubali kama umeweza kuamini baraza la mawaziri la Wenye hali ya kuwa baraza hutangazwa na Rais tena katika sehemu maalumu we unaamini kwa kuambiwa jukwani tena uwanjani. Hebu muulizeni ni lini analiapisha? Kweli bongo wako wengi wanaoishi kwa kuhesabu sms.
 
ASIFU WA LUKOSI
1.
Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia Botwana kwa dada yake ambaye ni Nurse.2
2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk.
3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa.
4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara.
5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu Tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua.
6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja free of charge.
7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka Tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.Ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua.
8 Kashfa aliyoitoa kwa mbunge Lema kuhusu kubaka huko London,kwa taarifa za uhakika yule dada ni muathirika wa VVU na alikuwa ni mpenzi wake LUKOSI kwa muda.
Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua naomba kutoa hoja
 
Back
Top Bottom