Ccm chaaliii
CHADEMA hakiendeshwi kwa maamuzi ya kushikiwa ile ni nguvu ya umma na ni movement of change with nor apology walimu wa democracy.Soma hapo chini ujue chama gani kitashinda urais. Hii niliandika tangu 2013 baada ya kuona cdm ni wana mwenyekiti mjingaa mjingaaa mpenda madaraka
Usiku wa october utakuwa unaota usingizi wa mang'am-ng'am hujitambui kitanda utakiona kama kina matobotobo kama kokoro la mchuuzi.Chadema subirini kutandikwa ifikapo october
Soma hapo chini ujue chama gani kitashinda urais. Hii niliandika tangu 2013 baada ya kuona cdm ni wana mwenyekiti mjingaa mjingaaa mpenda madaraka
Usiku wa october utakuwa unaota usingizi wa mang'am-ng'am hujitambui kitanda utakiona kama kina matobotobo kama kokoro la mchuuzi.
CHADEMA hakiendeshwi kwa maamuzi ya kushikiwa ile ni nguvu ya umma na ni movement of change with nor apology walimu wa democracy.
Chadema subirini kutandikwa ifikapo october
Kwa kisingizio cha EL hapo mmebug
Nyie mmegeukia matapishiyenu kwa kumkumbatia fisadi lowassa...subirini mtandikwe october
Huitaji kufanya hesabu za MAGAZIJUTO kutambua kwamba wana CDM+UKAWA watashinda kwa kishindo oct 25. Nakupa 7bu chache sana zny mashiko.
1. CCM haina mvuto tena kwa vijana, wazee, wasomi na hatata watoto wa primary.
2. Vijana wamejitokeza kujiandikisha kwa wingi na wamehasika kwnd kupiga kura tofauti na miaka ya nyuma. Na hawa ndio hazina kuu ya kura kwa CDM+UKAWA.
3.Kuondoa jina EL kwa fitina na uzandiki tayari i mpacts zake zinaonekana kwa wanachama wa CCM kuhamia CDM, Itawaghalimu.
4. Kauli za kifedhuli na kibazazi zinazotolewa na viongozi waandamizi wa chama. Mfan ccm itashinda hata kwa goli la mkono. Hatari.
Zaidi ya miaka hamsini tanga tupate uhuru hakuna uhuru wa kweli na mabadiliko yenye tija kwa watanzania. Poleni Watanzania.
5. Tabaka kubwa la walionacho na wasionacho hasira zinaongezeka kwa Watanzania. Vigogo wacheche wa ccm wana ukwasi mkubwa ilhali majority ya wa tz ni masikini wa kutupwa.
Kwa mfano watu kuishi kwenye tembe ndo maisha bora hayo mkuu wa kaya?