Duh.Tangu lini mtu anaepewa mshahara na ulinzi na serikali akawa mpinzani? Kwa sasa wako huko kwa "kazi maalum"
Mlikuwa kwa Mh Mbowe kwamba astaafu siasa na kaongoza sana CDM; sasa mmemgeukia Mh Sumaye tena?Tangu lini mtu anaepewa mshahara na ulinzi na serikali akawa mpinzani? Kwa sasa wako huko kwa "kazi maalum"
Hata wabungesasa unashangaa nini? Mbona walimu wanalipwa na serikali halafu wapo wengi tu wapinzani!?
Jamaa lilikuwa halijui litapiga kelele anyag'anywe gari mara moja... ha ha haHata Mbowe analipwa na serikali,anatumia gari la serikali kama KUB
Sumaye na Lowasa wanaviapo vya utii, hivyo wanaweza kuitwa muda wowote na wakatoa ushirikiano kwa serikali..Hata Mbowe analipwa na serikali,anatumia gari la serikali kama KUB
Sumaye na Lowasa wanaviapo vya utii, hivyo wanaweza kuitwa muda wowote na wakatoa ushirikiano kwa serikali..
Mbowe hana kiapo chochote kile.
Sumaye na Lowasa wanaviapo vya utii, hivyo wanaweza kuitwa muda wowote na wakatoa ushirikiano kwa serikali..
Mbowe hana kiapo chochote kile.
Wanang'ata na kupulizaTangu lini mtu anaepewa mshahara na ulinzi na serikali akawa mpinzani? Kwa sasa wako huko kwa "kazi maalum"