wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 559
wache watukane lakini tutakavyobadilikia watajuta nakusaga menomada yako nzuri kwao ila jiandae na kapu la matusi.
wao kila kitu wanajua hawataki kujifunza
Akili zako sawa na za ngeukijiona taasisi ya kijamii unaelimisha kwa jamii hawakuungi elimu yako au mada zako na wanakuunga mkono si wale wenye hekima au wenye heshima zao ujue mada zako hazina maana yoyote inabidi ukae ukajiuliza nimekosea wapi ili ujirekebishi na ujipange upya.
utakuta kama chadema wale wenye hekima na busara hawakisapoti hicho chama badala ya kujitathimini tunawafikiaje ili watuelewe na kutusapoti wafuasi wao wanaishia kuwakejeli na kuwakebehi.
muwe makini ili mueleweke kwa jamii
Liambie hilo gamba ambalo halipati usingizi kwa ajili ya cdmChadema si mabogasi kama ccm wewe! ✌ ccm mengi wanaiga toka cdm.
Nikiwavi mwenzako huyomada yako nzuri kwao ila jiandae na kapu la matusi.
wao kila kitu wanajua hawataki kujifunza
Wewe ni sawa na kiwaviwache watukane lakini tutakavyobadilikia watajuta nakusaga meno
Wanaiga nini? Kufuta list ya mafisadi kwenye tovuti ya chama nini na kujiita wazarendo?Chadema si mabogasi kama ccm wewe! ✌ ccm mengi wanaiga toka cdm.
ukijiona taasisi ya kijamii unaelimisha kwa jamii hawakuungi elimu yako au mada zako na wanakuunga mkono si wale wenye hekima au wenye heshima zao ujue mada zako hazina maana yoyote inabidi ukae ukajiuliza nimekosea wapi ili ujirekebishi na ujipange upya.
utakuta kama chadema wale wenye hekima na busara hawakisapoti hicho chama badala ya kujitathimini tunawafikiaje ili watuelewe na kutusapoti wafuasi wao wanaishia kuwakejeli na kuwakebehi.
muwe makini ili mueleweke kwa jamii
Umeandika nini wewe juha wakimataifa? JF musiifanye kama kilabuni kwamba kila mlevi anaruhusiwa kusema atakacho.ukijiona taasisi ya kijamii unaelimisha kwa jamii hawakuungi elimu yako au mada zako na wanakuunga mkono si wale wenye hekima au wenye heshima zao ujue mada zako hazina maana yoyote inabidi ukae ukajiuliza nimekosea wapi ili ujirekebishi na ujipange upya.
utakuta kama chadema wale wenye hekima na busara hawakisapoti hicho chama badala ya kujitathimini tunawafikiaje ili watuelewe na kutusapoti wafuasi wao wanaishia kuwakejeli na kuwakebehi.
muwe makini ili mueleweke kwa jamii
Acha matusi ukiona hoja yake haina maana pita ,vipi akili za kumchafua CHENGE Leo hii na mikakati ya kumchukua kwenye urais 2020,?Akili hizi zitakuwa zilitunguliwa kwa jiwe then zikavundikwa ndio maana umeandika uvundo tu hapa