CHADEMA msibweteke na vikao na CCM, nguvu ya kudai Katiba iongezeke

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,881
Wadau nawasabahi.

Naomba kuwashauri VIONGOZI WAKUU wa CHADEMA na Wanachama wao Wasibweteke na Mfululizo wa Mazungumzo na RAIS SAMIA na CCM kwani Yanadhohofisha KASI yenu ya KUDAI KATIBA MPYA

MOTO wa Kudai KATIBA MPYA wakati Mh MBOWE na Wenzake wako kwenye KESI ya UGAIDI UMEPUNGUA SANA naona ni BAVICHA TU ndio Wanazunguka na Sio VIONGOZI WAKUU

Ushauri
KIKOSI Kazi kipo kwa Ajili ya KUWAPOZA na Kuchelewesha KATIBA MPYA , KIKOSI Kazi kimeundwa na Mwenyekiti wa CCM kimesheheni MAKADA watupu wa CCM

Pia CHADEMA suala la WABUNGE FAKE 19 msilipuuzie CCM inataka waendelee kuwa BUNGENI KUSHINDWA kwenu kuwang'oa BUNGENI mtakuwa mmehalalisha kuwa MMETAMBUA UBUNGE WAO CHEZENI KARATA YA KUWAFUKUZISHA BUNGENI HATA KWA KWENDA MAHAKAMANI KUTAKA TAFSIRI YA UBUNGE WAO WA KUTOKUWA WANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA
 
Wadau nawasabahi.

Naomba kuwashauri VIONGOZI WAKUU wa CHADEMA na Wanachama wao Wasibweteke na Mfululizo wa Mazungumzo na RAIS SAMIA na CCM kwani Yanadhohofisha KASI yenu ya KUDAI KATIBA MPYA

MOTO wa Kudai KATIBA MPYA wakati Mh MBOWE na Wenzake wako kwenye KESI ya UGAIDI UMEPUNGUA SANA naona ni BAVICHA TU ndio Wanazunguka na Sio VIONGOZI WAKUU

Ushauri
KIKOSI Kazi kipo kwa Ajili ya KUWAPOZA na Kuchelewesha KATIBA MPYA , KIKOSI Kazi kimeundwa na Mwenyekiti wa CCM kimesheheni MAKADA watupu wa CCM

Pia CHADEMA suala la WABUNGE FAKE 19 msilipuuzie CCM inataka waendelee kuwa BUNGENI KUSHINDWA kwenu kuwang'oa BUNGENI mtakuwa mmehalalisha kuwa MMETAMBUA UBUNGE WAO CHEZENI KARATA YA KUWAFUKUZISHA BUNGENI HATA KWA KWENDA MAHAKAMANI KUTAKA TAFSIRI YA UBUNGE WAO WA KUTOKUWA WANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA
Hao wamekwishakabwa, hata sidhani kuwa wana pumzi tena!

Ngoja nikueleze ni hivi: Samia aliweza kufanya kazi na Magufuli, hata kama alikuwa hakubaliani naye kwa lolote kama ilivyokwishajidhihirisha tayari.

Sasa atashindwa vipi kuwahadaa CHADEMA, kwa kuwapotezea muda huku yeye akifanya maandalizi yake ya 2025.

Hata kama CHADEMA watakuja kuzinduka toka usingizini wanaopewa kwa mbinu za maelewano/maridhiano, watajikuta hawana muda tena wa kudai walichodhani Samia atakubali kizungumzwe na kuafikia maelewano.

Samia tayari yupo kwenye kampeni na mbinu hizo za kuwajaza usingizi CHADEMA nazo ni mkakati wa kumhakikishia kuwa 2025 anatimiza malengo yake.

Wanachoweza kuambulia CHADEMA, na ninadhani ndicho baadhi yao wanakitizamiaa sasa ni kuwa sehemu ya serikali atakayoiunda hapo 2025.

Kuna watakaolikataa hili (akina Tundu), lakini sioni wengi huko wanaoweza kukaza shingo na kulikataa. Kwanza kuna mambo mengi ya Samia ambayo CHADEMA kama chama wanayaafiki.

Ngoja hili niliachie hapa, lakini ukitaka unaweza kulipeleka benki wazo hili bila wasiwasi wowote.
 
Wadau nawasabahi.

Naomba kuwashauri VIONGOZI WAKUU wa CHADEMA na Wanachama wao Wasibweteke na Mfululizo wa Mazungumzo na RAIS SAMIA na CCM kwani Yanadhohofisha KASI yenu ya KUDAI KATIBA MPYA

MOTO wa Kudai KATIBA MPYA wakati Mh MBOWE na Wenzake wako kwenye KESI ya UGAIDI UMEPUNGUA SANA naona ni BAVICHA TU ndio Wanazunguka na Sio VIONGOZI WAKUU

Ushauri
KIKOSI Kazi kipo kwa Ajili ya KUWAPOZA na Kuchelewesha KATIBA MPYA , KIKOSI Kazi kimeundwa na Mwenyekiti wa CCM kimesheheni MAKADA watupu wa CCM

Pia CHADEMA suala la WABUNGE FAKE 19 msilipuuzie CCM inataka waendelee kuwa BUNGENI KUSHINDWA kwenu kuwang'oa BUNGENI mtakuwa mmehalalisha kuwa MMETAMBUA UBUNGE WAO CHEZENI KARATA YA KUWAFUKUZISHA BUNGENI HATA KWA KWENDA MAHAKAMANI KUTAKA TAFSIRI YA UBUNGE WAO WA KUTOKUWA WANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA
Mbowe siyo fala mambo yote yatakaa sawa
 
Hao wamekwishakabwa, hata sidhani kuwa wana pumzi tena!

Ngoja nikueleze ni hivi: Samia aliweza kufanya kazi na Magufuli, hata kama alikuwa hakubaliani naye kwa lolote kama ilivyokwishajidhihirisha tayari.

Sasa atashindwa vipi kuwahadaa CHADEMA, kwa kuwapotezea muda huku yeye akifanya maandalizi yake ya 2025.

Hata kama CHADEMA watakuja kuzinduka toka usingizini wanaopewa kwa mbinu za maelewano/maridhiano, watajikuta hawana muda tena wa kudai walichodhani Samia atakubali kizungumzwe na kuafikia maelewano.

Samia tayari yupo kwenye kampeni na mbinu hizo za kuwajaza usingizi CHADEMA nazo ni mkakati wa kumhakikishia kuwa 2025 anatimiza malengo yake.

Wanachoweza kuambulia CHADEMA, na ninadhani ndicho baadhi yao wanakitizamiaa sasa ni kuwa sehemu ya serikali atakayoiunda hapo 2025.

Kuna watakaolikataa hili (akina Tundu), lakini sioni wengi huko wanaoweza kukaza shingo na kulikataa. Kwanza kuna mambo mengi ya Samia ambayo CHADEMA kama chama wanayaafiki.

Ngoja hili niliachie hapa, lakini ukitaka unaweza kulipeleka benki wazo hili bila wasiwasi wowote.
Unataka umwagaji damu?
 
Hakuna aliyebweteka ndugu, watu wapo site !! Hukusikia timbwili na majuzi pale CCM kirumba ?
 
Tatizo mwenyekiti wetu Mbowe ni mbumbumbu sana, ushauri huu anaona utamkosesha asali. Ameshakiuza chama, yaliyobaki ni makelele tu amabayo hata yeye ameyapuuza.
 
Hao wamekwishakabwa, hata sidhani kuwa wana pumzi tena!

Ngoja nikueleze ni hivi: Samia aliweza kufanya kazi na Magufuli, hata kama alikuwa hakubaliani naye kwa lolote kama ilivyokwishajidhihirisha tayari.

Sasa atashindwa vipi kuwahadaa CHADEMA, kwa kuwapotezea muda huku yeye akifanya maandalizi yake ya 2025.

Hata kama CHADEMA watakuja kuzinduka toka usingizini wanaopewa kwa mbinu za maelewano/maridhiano, watajikuta hawana muda tena wa kudai walichodhani Samia atakubali kizungumzwe na kuafikia maelewano.

Samia tayari yupo kwenye kampeni na mbinu hizo za kuwajaza usingizi CHADEMA nazo ni mkakati wa kumhakikishia kuwa 2025 anatimiza malengo yake.

Wanachoweza kuambulia CHADEMA, na ninadhani ndicho baadhi yao wanakitizamiaa sasa ni kuwa sehemu ya serikali atakayoiunda hapo 2025.

Kuna watakaolikataa hili (akina Tundu), lakini sioni wengi huko wanaoweza kukaza shingo na kulikataa. Kwanza kuna mambo mengi ya Samia ambayo CHADEMA kama chama wanayaafiki.

Ngoja hili niliachie hapa, lakini ukitaka unaweza kulipeleka benki wazo hili bila wasiwasi wowote.
Acha kudanganya kufanya kazi na Shetani sio lazima na wewe uwe Shetani Chadema wako Makini zaidi yako

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hao wamekwishakabwa, hata sidhani kuwa wana pumzi tena!

Ngoja nikueleze ni hivi: Samia aliweza kufanya kazi na Magufuli, hata kama alikuwa hakubaliani naye kwa lolote kama ilivyokwishajidhihirisha tayari.

Sasa atashindwa vipi kuwahadaa CHADEMA, kwa kuwapotezea muda huku yeye akifanya maandalizi yake ya 2025.

Hata kama CHADEMA watakuja kuzinduka toka usingizini wanaopewa kwa mbinu za maelewano/maridhiano, watajikuta hawana muda tena wa kudai walichodhani Samia atakubali kizungumzwe na kuafikia maelewano.

Samia tayari yupo kwenye kampeni na mbinu hizo za kuwajaza usingizi CHADEMA nazo ni mkakati wa kumhakikishia kuwa 2025 anatimiza malengo yake.

Wanachoweza kuambulia CHADEMA, na ninadhani ndicho baadhi yao wanakitizamiaa sasa ni kuwa sehemu ya serikali atakayoiunda hapo 2025.

Kuna watakaolikataa hili (akina Tundu), lakini sioni wengi huko wanaoweza kukaza shingo na kulikataa. Kwanza kuna mambo mengi ya Samia ambayo CHADEMA kama chama wanayaafiki.

Ngoja hili niliachie hapa, lakini ukitaka unaweza kulipeleka benki wazo hili bila wasiwasi wowote.
Hiki ulichoandika hapa nilishakiwaza nikapata jibu.

Inawezekana lile wazo la Samia kumpeleka Mbowe gerezani alikurupuka mwenyewe, akaona ile ndio ilikuwa njia sahihi ya kumfunga mdomo.

Lakini alipokwenda kuomba ushauri toka kwa "mentor" wake nini afanye, akaambiwa amuachie Mbowe, amkaribishe ikulu [ na alifanya hivi mapema sana ili kumtengeneza akili akienda uraiani afanyeje]

Baada ya hapo aanze kumzubaisha kwa njia ya mazungumzo [hapa refer vikao vya juice ikulu vya JK enzi zile] havikuwa na matokeo yoyote ya maana. Kwa hili nakuachia mwenyewe ujiulize kama Samia amefanikiwa au vipi?

Kuhusu Chadema kuwa sehemu ya serikali?! no way my friend!.

Chadema watakachoambulia hapa ni kurudishiwa baadhi ya majimbo yao waliyoporwa 2020 ili wafungwe mdomo, mfano: Hai, Arusha Mjini, Moshi Mjini, Tarime, Singida Mashariki, kule ambapo walikuwa na uungwaji mkono mkubwa.

Lakini sehemu nyingine, itabidi Chadema waanze kupambana upya kuyatoa mikononi mwa CCM majimbo yaliyokuwa mikononi mwao, na hii kazi haitakuwa rahisi, itachukua miaka, mfano Mbeya Mjini, Iringa Mjini, na kidogo Kawe kulingana na mgombea watakayemsimamisha.
 
Back
Top Bottom