jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Kuna usemi unaosema hivi:
'Do not wrestle with a pig, you will both get dirty and the pig likes it'
Na;
'..Dont argue with a fool, he will bring you down to his level and beat you with experience..'
Kwa mwenye akili timamu anajua ajenda ya Nchemba ndani ya Bunge-kupotosha na kukipaka matope CHADEMA kwa hoja dhaifu,michango yake bungeni imeonesha hivyo na pia imeonesha jinsi gani ni huyu jamaa ni bongolala-matokeo ya mfumo uliomkuza wa CCM. Hana uwezo wa kujenga hoja makini kama Mnyika!
Hata hili la kutumiwa sms ya vitisho (kama ni kweli) ni fabricated na yeye mwenyewe. Hakuna mtu CHADEMA anaeza kutaka kumuua Nchemba! No motive! Nchemba ana nini hata watu makini ndani ya CHADEMA watake auawe? Hana lolote! Angekua mjenga hoja makini labda watu wangedhani ni kwa vile ni mwiba,ila kwa upuuzi ule?
C'mon, CHADEMA has more important matters to attend to! Nawaasa wana CHADEMA, this good-for-nothing Nchemba should not become an agenda in your matters!
'Do not wrestle with a pig, you will both get dirty and the pig likes it'
Na;
'..Dont argue with a fool, he will bring you down to his level and beat you with experience..'
Kwa mwenye akili timamu anajua ajenda ya Nchemba ndani ya Bunge-kupotosha na kukipaka matope CHADEMA kwa hoja dhaifu,michango yake bungeni imeonesha hivyo na pia imeonesha jinsi gani ni huyu jamaa ni bongolala-matokeo ya mfumo uliomkuza wa CCM. Hana uwezo wa kujenga hoja makini kama Mnyika!
Hata hili la kutumiwa sms ya vitisho (kama ni kweli) ni fabricated na yeye mwenyewe. Hakuna mtu CHADEMA anaeza kutaka kumuua Nchemba! No motive! Nchemba ana nini hata watu makini ndani ya CHADEMA watake auawe? Hana lolote! Angekua mjenga hoja makini labda watu wangedhani ni kwa vile ni mwiba,ila kwa upuuzi ule?
C'mon, CHADEMA has more important matters to attend to! Nawaasa wana CHADEMA, this good-for-nothing Nchemba should not become an agenda in your matters!