Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Mheshimiwa tunaomba utusaidie sana,ajira ni tatizo kubwa hapa moshi mjini kwa mawazo haya tatizo lingeweza kupungua.Tufufuliwe viwanda vilivyokufa hapa Moshi,kama kile cha Magogo,Magunia N.k.Nasema viwanda kwasababu ni sekta ambayo inaouwezo wakuajiri watu wengi mno.