CHADEMA 'mnazingua'

Umesema viongozi wangu? Sina kiongozi,najiongoza mwenyewe!
Hata wakienda mahakamani itakuwa kazi bure.......tangu lini kesi ya nyani ikashindwa kwenye mahakama ngedere?

Na leo naiskia CJ kawainukia Mahakimu sasa sijui kawabanaje hapo ndiyo sielewi usikute kawaambia kesi zote za serikali lazima serikali ishinde.
 
Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
 
Na leo naiskia CJ kawainukia Mahakimu sasa sijui kawabanaje hapo ndiyo sielewi usikute kawaambia kesi zote za serikali lazima serikali ishinde.
Inawezekana kabisa. Bado nalilia katiba mpya
 
Hujui kwa sasa karibu mkuu wa CHADEMA hatakiwi kufanya hata mkutano wa hadhara?.Kwa sasa watu wanapigwa risasi unasema wapige kimyakimya!.
 
Mkuu na wewe unazingua...

Forum ya kusemea "dikteta uchwara" mnaipata wapi?

Anachokisema learned brother ni kwamba, hakuna hoja maalumu ambazo zipo kwenye fingertips za wananchi wanaoiunga mkono chadema.

Sababu ya kukosa forum mimi naipinga, mapinduzi ya Misri yalisababishwa na watu wa mtandaoni, otherwise muwe mnataka majukwaa kuwapiga fix wananchi.
 
Mkuu
Chadema iliondoka na Dr Slaa
Sasa hivi kuna copy tu
 
Acheni unafiki hao chadema mnataka wafanye miujiza gani? bungeni wanafukuzwa, no mikutano,hatakufanya ibadada, wanazuiwa,labda kilicho baki sasa ni kuliamsha dude.
 
Inawezekana kabisa. Bado nalilia katiba mpya

Nilipoona kashikwa mkono basi nilipata tafsiri MAHAKAMA kwisha kazi yake kabisa.Na jamaa yetu huyu aka CJ hata kutoa pole ya kinafiki kwa wanafamilia wa TLS yaani mawakili wenzake kamute maana akisema tu ulaji kwishney.Hapa nitamuoma Petro E Mselewa atusaidie,maana kwangu inaleta ukakasi
 
yaan CHADEMA ni Kama gari bovu
 
Wewe naona umeanza kuzeeka vibaya tena sana wewe huoni mpaka Rais wenu wa TLS ameshambuliwa na risasi baada ya kuongelea ufisadi wa madini halafu IMMA imepigwa bomu halafu bado hujaelewa huu utawala uliopo ni wa namna gani? acha kazi ya uwakili nenda kalime matikiti
 
Eeh eeeh! Taratibu na matumizi ya lugha mkuu!
 
Badala ya kuandaa submission za mahakamani unakuja na vithread vinavyo fanana na jingalao
 
Ni Kweli wanazingua
 
..another idiotic talk by a fake lawyer...hawa chadema wana hoja nzito ...Na Kati ya hizo hoja ndio zimelekea hon. Lissu, ambaye pia ni boss wako huko TLS kama we kweli ni member, kupigwa risasi ili kuuliwa.

....Kama we huoni kuwa chadema wanakosa jukwaa la kutolea hoja zao basi una shida kwenye akili yako mbovu...,Na wala hufai kujiita lawyer...hizi kiki unazotafta kila kukicha kwa watawala hutozipata kwa unafiki wako....yani chadema watoeje hoja zao wakati kila kukicha wanahaha huko kwenye mahakama na makesi yasiyoisha!!!ama hili nalo hulioni??...ama huoni kinachoendelea bungeni dhidi ya wapinzani???...wataftie jukwaa chadema huone kama hawana hoja....idiot...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…