Mbuzimtu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 355
- 178
Ninawashangaa sana chadema kuona wanavyo lichanganya taifa hili.
Kwanza,
1. Wamekuwa na misimamo isiyo yumba mara zote wanapoamua kufanya mabo yao. Hii inasababisha hata uendeshaji wa serikali unakuwa mgumu. Mfano, Tangu wameanza kuwaelimisha wananchi mambo mbali mbali ya kisiasa na kisheria, watu wamekuwa wakihoji kila kitu. Tatizo ni chadema kiherehere chao kuwaelimisha wananchi na misimamo yao mikali
2. Chadema wameanzisha tabia ya kutoka bungeni mara zote wanapoona kuwa mambo yanayofanyika ni kinyume na sheria au ni kinyume na matakwa ya watanzania. Walianza 2010 wakati wa hotuba ya rais Kikwete na juzi tu wamesusa bunge la katiba. Mbaya zaid ni pale walipowambukiza na CUFna NCCR mageuzi. Hili nalo limezidi kuwa tatizo nchini na linakwamisha utekerezaji wa mipango ya chama tawala na serikali yake. Sio lazima kuwasikiliza wananchi kwenye mambo nyeti kama katiba kwani wanaweza kuharibu upatikanaji wa katiba inayotekerezeka.
3.Chadema wamejenga utamaduni wa kuhoji kila kitu cha serikali. Mfano, kila mara serikali inapoingia mikataba na makampuni au nch furani wao wanataka wananchi wajue. Huwa najiuliza ili iweje?. Sio lazima wananchi wajue kwani wanajua nini kuhusu mikataba?
Chadema badilikeni. Msitupereke putaputa wakati sisi tuko kizazi cha zamani
Kwanza,
1. Wamekuwa na misimamo isiyo yumba mara zote wanapoamua kufanya mabo yao. Hii inasababisha hata uendeshaji wa serikali unakuwa mgumu. Mfano, Tangu wameanza kuwaelimisha wananchi mambo mbali mbali ya kisiasa na kisheria, watu wamekuwa wakihoji kila kitu. Tatizo ni chadema kiherehere chao kuwaelimisha wananchi na misimamo yao mikali
2. Chadema wameanzisha tabia ya kutoka bungeni mara zote wanapoona kuwa mambo yanayofanyika ni kinyume na sheria au ni kinyume na matakwa ya watanzania. Walianza 2010 wakati wa hotuba ya rais Kikwete na juzi tu wamesusa bunge la katiba. Mbaya zaid ni pale walipowambukiza na CUFna NCCR mageuzi. Hili nalo limezidi kuwa tatizo nchini na linakwamisha utekerezaji wa mipango ya chama tawala na serikali yake. Sio lazima kuwasikiliza wananchi kwenye mambo nyeti kama katiba kwani wanaweza kuharibu upatikanaji wa katiba inayotekerezeka.
3.Chadema wamejenga utamaduni wa kuhoji kila kitu cha serikali. Mfano, kila mara serikali inapoingia mikataba na makampuni au nch furani wao wanataka wananchi wajue. Huwa najiuliza ili iweje?. Sio lazima wananchi wajue kwani wanajua nini kuhusu mikataba?
Chadema badilikeni. Msitupereke putaputa wakati sisi tuko kizazi cha zamani