Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
- Thread starter
- #41
Kwani mama yako analipa?kwaiyo hapo unajiona na wewe umefanya uchambuzi? uskute wee nae eti ni dingiake mtu
Kwani mama yako analipa?kwaiyo hapo unajiona na wewe umefanya uchambuzi? uskute wee nae eti ni dingiake mtu
Huko Belgium bila wewe kumpiga risasi angekuwa huko? Ushetani wako ndiyo ulisababisha aende huko, CCM mkienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.Nasema leteni pesa ya beberu ikafanye mzunguko hapa kisha mgombea wenu arudi ubelgiji akalipe Madeni huko
Wakati sisi tunaendelea na JPM
Hapo sasaUsimsikilize chizi huyu. Nani aibe kura na kila chama kina wakala.
Mnasingizia wizi wa kura,bure tu wakati hata kujaza fomu tu tatizo. Chadema ilikuwa Enzi za kina slaa, hii ya sasa waganga njaa tu. Watanzania wameshastukia janja zenu. Magufuli, tano tena.Ni wizi wa kura pekee unaweza kuivusha CCM, lakini uchaguzi huru na haki CCM hana chake